Mchokozi wa mambo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 201
- 159
Msaada wadau mwenye taarifa ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kwenda kufanya MATRICULATION chuo cha madini Dodoma, naomba anijuze maana walisema wanatoa mtandaoni tarehe 30/5/2014 lakini mpaka sasa bado