wadau nimeapply chuo cha mipango dodoma kozi ya ba in development economics lakini baada ya kumwambia mzazi wangu amesema chuo hiko ni kibaya bila kunipa sababu zozote na deadline imepita tayari.
Msaada kwa wanaokijua hiki chuo je ni kuzuri au magumashi maana nimechanganyikiwa tayari naombeni msaada wa maoni yenu, asanteni mbarikiwe.
Msaada kwa wanaokijua hiki chuo je ni kuzuri au magumashi maana nimechanganyikiwa tayari naombeni msaada wa maoni yenu, asanteni mbarikiwe.