Wabaya wa Uongozi wa Chuo huhamishiwa huko kama adhabu kwa kuwa wanahoji ufisadi unaofanyika. Hata kama watoto wako shule hupewa barua ghafla ya kutakiwa kuhamia Zanzibar mara moja. Kama unasoma huhamishiwa hiko ili ukwame kusoma ili ubaki palepale kielimu. Wafanyakazi wengine wamehamishwa kwa nia ya kuwapa adhabu na kuamua kuacha kazi. Chuo hiki hutangaza nafasi za muda kila wakati na imekuwa mradi wa wakubwa kupata posho ya vikao. Wadau karibuni kwa ushuhuda na kuchangia mada.
Huyu jamaa bado anahaha tu na Chuo cha Mwl Nyerere?kwani walikukosea nini?maana kama kuwasakama umeshawasakama sana!wamesikia na ujumbe utakuwa umefika sasa!jipange uanze upya......!
Huyu jamaa bado anahaha tu na Chuo cha Mwl Nyerere?kwani walikukosea nini?maana kama kuwasakama umeshawasakama sana!wamesikia na ujumbe utakuwa umefika sasa!jipange uanze upya......!
Hiyo nafasi ya senior accountant waliyoitangaza ni kutokana na mwenye hiyo position kuacha kazi kwa mazingira magumu ya kazi au ikoje mzee tujuze!
Kama kuna nafasi umeona imetangazwa itendee haki, kama huna mchango kwenye mada husika kaa kimya hatufanyi umbea hapa.
Hujaeleweka vuzuri mkuu, title na contents tofauti kabisa
Hujaeleweka vuzuri mkuu, title na contents tofauti kabisa
Hujaeleweka vuzuri mkuu, title na contents tofauti kabisa
Katika Chuo cha Mwalimu Nyerere Dar ea Salaam, Mfanyakazi kuhamishiwa Tawi la la Chuo, Zanzibar hutumiwa kama adhabu?
Huyu jamaa bado anahaha tu na Chuo cha Mwl Nyerere?kwani walikukosea nini?maana kama kuwasakama umeshawasakama sana!wamesikia na ujumbe utakuwa umefika sasa!jipange uanze upya......!
Wabaya wa Uongozi wa Chuo huhamishiwa huko kama adhabu kwa kuwa wanahoji ufisadi unaofanyika. Hata kama watoto wako shule hupewa barua ghafla ya kutakiwa kuhamia Zanzibar mara moja. Kama unasoma huhamishiwa hiko ili ukwame kusoma ili ubaki palepale kielimu. Wafanyakazi wengine wamehamishwa kwa nia ya kuwapa adhabu na kuamua kuacha kazi. Chuo hiki hutangaza nafasi za muda kila wakati na imekuwa mradi wa wakubwa kupata posho ya vikao. Wadau karibuni kwa ushuhuda na kuchangia mada.