Wabaya wa Uongozi wa Chuo huhamishiwa huko kama adhabu kwa kuwa wanahoji ufisadi unaofanyika. Hata kama watoto wako shule hupewa barua ghafla ya kutakiwa kuhamia Zanzibar mara moja. Kama unasoma huhamishiwa hiko ili ukwame kusoma ili ubaki palepale kielimu. Wafanyakazi wengine wamehamishwa kwa nia ya kuwapa adhabu na kuamua kuacha kazi. Chuo hiki hutangaza nafasi za muda kila wakati na imekuwa mradi wa wakubwa kupata posho ya vikao. Wadau karibuni kwa ushuhuda na kuchangia mada.