Chuo cha nishangaza

Chuo cha nishangaza

huyo mwanao una uhakika atafaulu??..vyuo vyote vyenye maadili ya kiseminary ni vya kata..vyuo vizur ni udsm,ardhi,muhimbili,dit,must,nit na kdg ifm..kama unataka cha seminary TEKU kipo
 
usisahau kuwa baadaye mwanao atafanya kazi kwenye jamii hii hii inayofanana na madangulo. badala ya kuhanagaika sana wapi umpeleke, mfundishe kuishi na kujitegea bila kujali yuko mazingira gani.

huu ndio ushauri
 
mlete saut kwa mapadre na masister wa katoliki
 
huyo mwanao una uhakika atafaulu??..vyuo vyote vyenye maadili ya kiseminary ni vya kata..vyuo vizur ni udsm,ardhi,muhimbili,dit,must,nit na kdg ifm..kama unataka cha seminary TEKU kipo

alishamaliza yupo kitaa anagonga tempo kwanza.
 
Back
Top Bottom