KERO Chuo cha SAUT Mwanza kimeweka wazi taarifa nyeti za wanafunzi ambao hawajasajiliwa kwa mwaka mpya wa masomo

KERO Chuo cha SAUT Mwanza kimeweka wazi taarifa nyeti za wanafunzi ambao hawajasajiliwa kwa mwaka mpya wa masomo

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Chuo kikuu cha SAUT Mwanza kimeweka hadharani taarifa za wanafunzi ambao hawajasajiliwa kwa mwaka mpya wa masomo Taarifa hizo zinajumuisha Majina kamili, namba za simu , emails, tarehe mwezi na mwaka wa kuzaliwa pamoja na namba za mitihani za kidato cha nne

Hayo yote yamechapishwa katika mfumo wa chuo wa SIMS upande wa news na inaonwa na maelfu ya wanafunzi na wanafanyakazi wa chuo hicho hivyo kuhatarisha usalama kwani mtu anapopata taarifa hizo nyeti za mtu mwingine anaweza kuzitumia katika utapeli wa mtandao na uharifu mwingine

Chuo kinatakiwa kutunza taarifa za wanafunzi zilizo kwenye data base kwani hapakuwa na haja ya kutoa taarifa zote hizo, ingefaa kutoa namba ya usajili ya chuo pamoja na majina matatu ingetoasha kabisa.

Screenshot_20250206-185903_Chrome.jpg
 
Wangeweka reg no tu. Wapuuzi hao, uyo Mr Jeremiah afukuzwe kazi.
 
vyuo vingi vya bongo vina management ya kichoko sana,
 
Safi kabisa,ukweki na uwazi,kama ulihonga makayer msala huo
 
M 10 ....

M 13 ....

Mr. Badokufa Bado yupo? Father Njiku je?
Sister Tangi je? Mr Njura najua alifariki! ...

Yule Mu Ethiopia nae je, yupo?

Nyamalango kumechangamka? Malimbe Complex ipo? Nadhani hii itakuwa imekufa!

Belta Lodge je 😂? Ndo huu upande wa pili ndo mnapaita kwa Masha eh? Ndo Kuna Kwa Masha hostel, St. Antony, Veronica hostel, 😂!

Yule Kapesa Bado yupo? Eeeh na Yule jamaa anachoma nyama na ugali huku upande wa kwa Masha yupo hai bado? 😂

Good Memories with SAUT MWANZA
 
Admin na mngt ya chuo wapo sahihi, watoto wetu Wana beti sana na kuhonga hovyo ngoja sisi wazazi tufatilie na kijana wangu hapo
Umenikumbusha story ya jamaa mmoja! Alitokea familia ya ki sure sana!

Alianza kusoma cheti kama sikosei akapiga mpk diploma vizuri tu! Mwaka ule wa kwanza!

Kuanzia mwaka wa pili wa masomo ya diploma hakuwa anaingia darasani, wazazi hela ya ada walikuwa wanampa na hela ya hostel ... Jamaa akawa analewaaa tu!

From diploma mpaka jamaa zake wanamaliza degree jamaa home anasema Bado anasoma ila ukweli ni kuwa jamaa ada alikuwa halipi.

Alikuwa analioa hostel tu! Full kulewa!

Yaani akiamka asubuhi huyoo kwa Manflow! Enzi hizo Kuna bara pale ipo 😂

Wazazi wanakuja kugundua it was too late!

Siku brother wake anakuja kumchukua ilikuwa kasheshe! Maana aliwadanganya wazazi ameanza kusoma masters akapewa mpunga!

Shida ilianza alipoambiwa Kuna kazi atume maombi wamemtafutiaa! 😂

Ticket za ndege go and return kwa miaka yote hiyo ... Jamaa alikuwa hasomi!

SAUT bhana ... 😂
 
M 10 ....

M 13 ....

Mr. Badokufa Bado yupo? Father Njiku je?
Sister Tangi je? Mr Njura najua alifariki! ...

Yule Mu Ethiopia nae je, yupo?

Nyamalango kumechangamka? Malimbe Complex ipo? Nadhani hii itakuwa imekufa!

Belta Lodge je 😂? Ndo huu upande wa pili ndo mnapaita kwa Masha eh? Ndo Kuna Kwa Masha hostel, St. Antony, Veronica hostel, 😂!

Yule Kapesa Bado yupo? Eeeh na Yule jamaa anachoma nyama na ugali huku upande wa kwa Masha yupo hai bado? 😂

Good Memories with SAUT MWANZA
Belta iliishakufa. Mara ya mwisho nimeenda Malimbe Complex walikuwa wanauza chupa moja ya soda kwa wiki! Mengine wataongezea wengine. Ila barabara hiyo ya kupita Belta inajengwa kwa kiwango cha lami nyepesi kutokea Mkolani.
 
Belta iliishakufa. Mara ya mwisho nimeenda Malimbe Complex walikuwa wanauza chupa moja ya soda kwa wiki! Mengine wataongezea wengine. Ila barabara hiyo ya kupita Belta inajengwa kwa kiwango cha lami nyepesi kutokea Mkolani.
Aiseeee! Acha utani mkuu!
Mkoloaniii si ndo unapita pale mamizii?

Nayo ipo mamizi 😂. Kitambo sana!
 
Umenikumbusha story ya jamaa mmoja! Alitokea familia ya ki sure sana!

Alianza kusoma cheti kama sikosei akapiga mpk diploma vizuri tu! Mwaka ule wa kwanza!

Kuanzia mwaka wa pili wa masomo ya diploma hakuwa anaingia darasani, wazazi hela ya ada walikuwa wanampa na hela ya hostel ... Jamaa akawa analewaaa tu!

From diploma mpaka jamaa zake wanamaliza degree jamaa home anasema Bado anasoma ila ukweli ni kuwa jamaa ada alikuwa halipi.

Alikuwa analioa hostel tu! Full kulewa!

Yaani akiamka asubuhi huyoo kwa Manflow! Enzi hizo Kuna bara pale ipo 😂

Wazazi wanakuja kugundua it was too late!

Siku brother wake anakuja kumchukua ilikuwa kasheshe! Maana aliwadanganya wazazi ameanza kusoma masters akapewa mpunga!

Shida ilianza alipoambiwa Kuna kazi atume maombi wamemtafutiaa! 😂

Ticket za ndege go and return kwa miaka yote hiyo ... Jamaa alikuwa hasomi!

SAUT bhana ... 😂
Namkumbuka huyo jamaa. Alikuja kuchuliwa na jamaa zake, akarudi tena. Akafuatwa tena. Baadae ilikuja taarifa amedanji!
 
Umenikumbusha story ya jamaa mmoja! Alitokea familia ya ki sure sana!

Alianza kusoma cheti kama sikosei akapiga mpk diploma vizuri tu! Mwaka ule wa kwanza!

Kuanzia mwaka wa pili wa masomo ya diploma hakuwa anaingia darasani, wazazi hela ya ada walikuwa wanampa na hela ya hostel ... Jamaa akawa analewaaa tu!

From diploma mpaka jamaa zake wanamaliza degree jamaa home anasema Bado anasoma ila ukweli ni kuwa jamaa ada alikuwa halipi.

Alikuwa analioa hostel tu! Full kulewa!

Yaani akiamka asubuhi huyoo kwa Manflow! Enzi hizo Kuna bara pale ipo [emoji23]

Wazazi wanakuja kugundua it was too late!

Siku brother wake anakuja kumchukua ilikuwa kasheshe! Maana aliwadanganya wazazi ameanza kusoma masters akapewa mpunga!

Shida ilianza alipoambiwa Kuna kazi atume maombi wamemtafutiaa! [emoji23]

Ticket za ndege go and return kwa miaka yote hiyo ... Jamaa alikuwa hasomi!

SAUT bhana ... [emoji23]
Kwamba mtu anamaliza diploma hawqendi hata mahafali? Kamaliza na degree pia ? Hadi anataka aunge masters

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Chuo kikuu cha SAUT Mwanza kimeweka hadharani taarifa za wanafunzi ambao hawajasajiliwa kwa mwaka mpya wa masomo Taarifa hizo zinajumuisha Majina kamili, namba za simu , emails, tarehe mwezi na mwaka wa kuzaliwa pamoja na namba za mitihani za kidato cha nne

Hayo yote yamechapishwa katika mfumo wa chuo wa SIMS upande wa news na inaonwa na maelfu ya wanafunzi na wanafanyakazi wa chuo hicho hivyo kuhatarisha usalama kwani mtu anapopata taarifa hizo nyeti za mtu mwingine anaweza kuzitumia katika utapeli wa mtandao na uharifu mwingine

Chuo kinatakiwa kutunza taarifa za wanafunzi zilizo kwenye data base kwani hapakuwa na haja ya kutoa taarifa zote hizo, ingefaa kutoa namba ya usajili ya chuo pamoja na majina matatu ingetoasha kabisa.

View attachment 3227081

Hii ni breach of confidentiality.ikiwa mtu kwa kwa kufanya hivyo atakuqa demaged kqa vyovyote vile basi anaweza kupata fidia flani.najua Saut wanao wanasheria waombe ushauri kwao
 
Kwamba mtu anamaliza diploma hawqendi hata mahafali? Kamaliza na degree pia ? Hadi anataka aunge masters

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Ninachokuelezea ni ukweli!

Ngoja Sasa nikueleze kwa undani!

Miaka Ile kuvaa joho la SAUT ilikuwa mbinde sana. So walichokuwa wanaofanya ni kuwaambia tu wazazi sisi au Mimi sitafanya graduation sioni umuhimu kikubwa nitumie hela tu basi!

As for me, I graduated hakuna mtu alikuja!

Wengine kwa kuwa wazazi au ndugu hawaji wanachukua joho la mtu wanapiga nalo picha watuma kwa wazazi!

Pangekuwa na mtu ambaye amewahi kusoma SAUT 2015 to 2018 na ameishi huku kwa Masha

Angekuwa shuhuda wa hili
 
Hapo nendeni mahakamani mkawashitaki wamevunja sheria ya personal data protection act ya mwaka 2022.

Sema sasa kwakuwa wanafunzi ni waoga, hapo wakichimbwa biti moja tu wote wanapepea.
 
Back
Top Bottom