Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Mkuu hivyo ni vyuo vikuu,ndio maana nikavitaja hapo.Sijavitaja bure,hivyo vina wajibu wa kufanya tafiti ili kupata suluhu ya Corona.Hospitali kazi yake ni kutibu mkuu,tafiti zao ni fupi tu kujua kama una kipindupindu ama la wakupe mwarobaini