Unataka wakipublish tafiti zao waje hapo kwenye chumba kilichojaa panya na mende wakuletee copy? Uliwahi ona wapi maarifa yanamtafuta mtu na Siyo mtu kuyatafuta maarifa?Mbona hizo tafiti hatuzioni kwenye kutatua changamoto za kila siku za wananchi, kwenye statitistics Tz tuko safi ila practically impact Zero, Mwaka unaisha husikie uvumbuzi wowote kutoka katika hivyo vyuo.
Ndo ameshaita sasa! Na imeisha hiyo[emoji30]Uwage na staha bas khaaaah, kuita chuo kingine ni "jalalani".
Sio ustaarabu.
Whoaaa!Kweli kabisa,najivunia kuwa SUA Alumni
Baadhi ya watanzania wenzetu ni wa hovyo sana ndugu. Just ignore them. Lakini waelewe tu kwamba SUA ni chuo Siyo jalalaHujui chochote wewe.Rais mwenyewe alipokuja 2017,alishangaa Sana kuona Jamii fupi za mipapai zilizogunduliwa SUA,pia aliona Panya wanaotumika kutegua mabomu na kupima km mtu ana kifua kikuu,halagu wewe Mwajuma Ndala ndefu unasema eti hakuna lolote.
Kweli, inabidi tuwapuuze tu, maana wao wanaadmire vitu vya nje hata km ni vya kipuuzi lkn vya Kwetu wanavidharau hata km ni wazungu wenyewe kweli nabii hakubaliki nyumbani kwao.Baadhi ya watanzania wenzetu ni wa hovyo sana ndugu. Just ignore them. Lakini waelewe tu kwamba SUA ni chuo Siyo jalala
Kwani wewe ulitakaje kwa mfano??.Hizo mbegu zilizogunduliwa SUA,Ulaya hazipo? Na nchi zilizobobea kwenye uchumi wa kilimo.
Isijekuwa gari la MasoudKwani wewe ulitakaje kwa mfano??.
Zipi unazo ziona?Mbona hizo tafiti hatuzioni kwenye kutatua changamoto za kila siku za wananchi, kwenye statitistics Tz tuko safi ila practically impact Zero, Mwaka unaisha husikie uvumbuzi wowote kutoka katika hivyo vyuo.
Kwani Masoud hajafanya ugunduzi??.Isijekuwa gari la Masoud