KERO Chuo cha TPC na namna mbaya wanayowafanyia wanafunzi/ wateja wao

KERO Chuo cha TPC na namna mbaya wanayowafanyia wanafunzi/ wateja wao

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Hakuna chuo ambacho walimu ni Mungu watu kama Tabora Polytechnic college kuna madudu mengi yanafanyika hapa hasa kwenye ngazi ya Famasi Diploma mfano kuna mwalimu style yake aisee hapana inabidi achukuliwe hatua. Unakuta mwalimu anatumia lugha mbaya sana darasani mfano anamwambia mwanafunzi wa kike "Unarembua utafikiri umeona DU", "wewe unaeongea hapo una nyege? "

Ukimjibu kesi anatoa adhabu ya kuleta ream huna anakutoa kwenye kipindi chake, licha ya uchumi kutofautiana na ada ya chuo kuwa kubwa lakini haimzuii mungu mtu huyu kutawala na kutunyanyasa kana kwamba tumefanya dhambi.

Hakuna mwanafunzi ambaye hajutii kuja kwenye hichi chuo hasa kutokana na utawala wa mabavu wa dikteta. Naomba mamlaka zinazohusika zichunguze chuo hiki maana tunanyanyasika sana na tunajuta kusoma hapa.
 
Hadi vyuo vikuu kuna wahadhili wababe ambao wanasaidia kuweka chuo kwenye msatari, sasa huko ambako kumejaa form four leaver ambao wengi wako under 19, ukiwaacha mjiendee mtakavyo, chuo kitayumba.

Ningeshangaa na kuhuzunika kama ungesema kuna walimu wanatembea na wanachuo, ukiwakatalia wanakuwekea zengwe ili uvute pumzi ya mto, ila huko kurembua rembua macho pengine ili umtege aiingie 18 zako unaona ni shida mkikaripiwa?

Kweli nyie ni watoto wa mama Kizimkazi.
 
Walimu wana kauli mbaya sana sijawahi pata kuona wanaona wanafunzi kama mavi hasa wa pharmacy
 
Hao walimu wa namna hiyo wangekutana na mimi wangejuta kuzaliwa sipendi kuonewa mimi (ndeke keya)
 
Unajiita anonymous halafu unaleta uzi wa malalamiko, unaogopa kutaja Jina la Mwalimu husika. Mtaje jina na cheo chake, Mamlaka zita mshughulikia. Sasa ukimficha watamchunguzaje, au unataka kichunguzwe chuo chote?
 
Unajiita anonymous halafu unaleta uzi wa malalamiko, unaogopa kutaja Jina la Mwalimu husika. Mtaje jina na cheo chake, Mamlaka zita mshughulikia. Sasa ukimficha watamchunguzaje, au unataka kichunguzwe chuo chote?
Hajielewi msamehe mkuu
 
Unajiita anonymous halafu unaleta uzi wa malalamiko, unaogopa kutaja Jina la Mwalimu husika. Mtaje jina na cheo chake, Mamlaka zita mshughulikia. Sasa ukimficha watamchunguzaje, au unataka kichunguzwe chuo chote?
Lazima kamaanisha Simba
Unajiita anonymous halafu unaleta uzi wa malalamiko, unaogopa kutaja Jina la Mwalimu husika. Mtaje jina na cheo chake, Mamlaka zita mshughulikia. Sasa ukimficha watamchunguzaje, au unataka kichunguzwe chuo chote?
Huyo mwalimu anaitwa Simba juzi yani anatukana sana hasa watoto wa kike
 
Hadi vyuo vikuu kuna wahadhili wababe ambao wanasaidia kuweka chuo kwenye msatari, sasa huko ambako kumejaa form four leaver ambao wengi wako under 19, ukiwaacha mjiendee mtakavyo, chuo kitayumba.

Ningeshangaa na kuhuzunika kama ungesema kuna walimu wanatembea na wanachuo, ukiwakatalia wanakuwekea zengwe ili uvute pumzi ya mto, ila huko kurembua rembua macho pengine ili umtege aiingie 18 zako unaona ni shida mkikaripiwa?.

Kweli nyie ni watoto wa mama Kizimkazi.
Mzigo wa mwenzio ni ukanda wa usufi
 
Back
Top Bottom