mapambanodaima
Senior Member
- Oct 22, 2012
- 108
- 15
Ndugu wanabodi kuna taarifa zimenifikia muda si mrefu kuwa inawezekana kabisa mkuu na makamu wake kuondolewa chuon kwa kile kinachosemekana utendaji mbovu na ufisadi.
Wanachuo waligoma wiki iliyopita baada ya kupewa vifaa vya kufundishia visivyozidi thamani ya sh.2000 wakati walipaswa kupewa 33000.
Naibu waziri wa elimu,mkurugenzi wa mafunzo ya ualimu,DC uongozi wa elimu wa wilaya na Bodi ya chuo wapo kwenye kikao na wanachuo,na baada ya hapo watazungumza na wafanyakazi wa chuo. Nitawapa update kadiri nitakavyokuwa napata taarifa. Source aliyopo kwenye eneo la chuo.
Wanachuo waligoma wiki iliyopita baada ya kupewa vifaa vya kufundishia visivyozidi thamani ya sh.2000 wakati walipaswa kupewa 33000.
Naibu waziri wa elimu,mkurugenzi wa mafunzo ya ualimu,DC uongozi wa elimu wa wilaya na Bodi ya chuo wapo kwenye kikao na wanachuo,na baada ya hapo watazungumza na wafanyakazi wa chuo. Nitawapa update kadiri nitakavyokuwa napata taarifa. Source aliyopo kwenye eneo la chuo.