ukishuka stand ya mabasi ya msamvu ulizia daladala zilizoandikwa kihonda-mjini,panda zinazoelekea mjini,ukifika mjini panda daladala zilizoandikwa Bigwa utashukia kituo kinaitwa kola,mpk hapo utakuwa ushafika kuna bango kubwa barabarani waweza chukua pikipiki au kutembea kwa mguu,pkpk zipo hpohpo kola.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.