Sina namna nakuja Dar
Mie nimeona uzi wako lakini sina cha kukusaidia mkuuWazee uzi hamuuoni au?
Kuna chuo Mwenge hapo kinaitwa Victory ni wakongwe na unaweza chagua muda ambao kwako ni rafiki kwenda ikiwa ni asubuh sana au jioni shukia kituo kinaitwa Lufungila.Kwema ndgu zangu...
Ni ndgu yenu Mmanyanigho hapa, nilipost thread ya kuja dar
Sasa Dar nilifika salama, nimehustle mpaka nimepanga chumba maeneo ya uswahilini kidogo ila naishi kibingwa.
Hii thread ya leo naomba kujuzwa vyuo vinavyotoa mafunzo ya udereva hasa evening classes maana nna kibarua kinachoniweka mjini hivyo jioni ndio nina muda.
Na pia jinsi ya kupata leseni ya udereva, dili nyingi zinanipita kwa kukosa leseni ya udereva.
Natanguliza shukran zangu za dhati yeyote atakaenisaidia kwa lolote.
Sawa mkuu shukran sanaVeta KIPAWA itakuaa ndugu!. Karibu kabisa na JNIA na huduma zao ni nzuri
Vipi kuhusu gharama zao, una habari zozote kuhusu hilo?Kuna chuo Mwenge hapo kinaitwa Victory ni wakongwe na unaweza chagua muda ambao kwako ni rafiki kwenda ikiwa ni asubuh sana au jioni shukia kituo kinaitwa Lufungila.
Kuhusu leseni ,Ukikamilisha mafunzo yako utaelekezwa vizuri kabisa hapo chuoni nini ufanye.
By 2022 ilikuwa 270000 kwa masomo ya mwezi mmoja.Vipi kuhusu gharama zao, una habari zozote kuhusu hilo?
Mm nimepita pale. Mwaka Jana ilikuwa ghalama ni hyohyo 270000By 2022 ilikuwa 270000 kwa masomo ya mwezi mmoja.
Sijui kwa sasa ,Ila ni vema kufika na kujua gharama halisi.
Ndio ninacho mkuuuna cheti cha kidato cha nne au nakala yake
Ukipata chuo,hukohuko utapatiwa lesen.Kwema ndgu zangu...
Ni ndgu yenu Mmanyanigho hapa, nilipost thread ya kuja dar
Sasa Dar nilifika salama, nimehustle mpaka nimepanga chumba maeneo ya uswahilini kidogo ila naishi kibingwa.
Hii thread ya leo naomba kujuzwa vyuo vinavyotoa mafunzo ya udereva hasa evening classes maana nna kibarua kinachoniweka mjini hivyo jioni ndio nina muda.
Na pia jinsi ya kupata leseni ya udereva, dili nyingi zinanipita kwa kukosa leseni ya udereva.
Natanguliza shukran zangu za dhati yeyote atakaenisaidia kwa lolote.
Na gharama za leseni hujumuishwa kwenye ada au inajitegemea?U
Ukipata chuo,hukohuko utapatiwa lesen.
Wao wanakuunganisha laki8 malipo unalipa wewe.Siku ya wanza uqlia usukani la,ima uwe na learner.Na gharama za leseni hujumuishwa kwenye ada au inajitegemea?