Kwema ndgu zangu...
Ni ndgu yenu Mmanyanigho hapa, nilipost thread ya kuja dar
Sasa Dar nilifika salama, nimehustle mpaka nimepanga chumba maeneo ya uswahilini kidogo ila naishi kibingwa.
Hii thread ya leo naomba kujuzwa vyuo vinavyotoa mafunzo ya udereva hasa evening classes maana nna kibarua kinachoniweka mjini hivyo jioni ndio nina muda.
Na pia jinsi ya kupata leseni ya udereva, dili nyingi zinanipita kwa kukosa leseni ya udereva.
Natanguliza shukran zangu za dhati yeyote atakaenisaidia kwa lolote.
Ni ndgu yenu Mmanyanigho hapa, nilipost thread ya kuja dar
Sina namna nakuja Dar
Sasa Dar nilifika salama, nimehustle mpaka nimepanga chumba maeneo ya uswahilini kidogo ila naishi kibingwa.
Hii thread ya leo naomba kujuzwa vyuo vinavyotoa mafunzo ya udereva hasa evening classes maana nna kibarua kinachoniweka mjini hivyo jioni ndio nina muda.
Na pia jinsi ya kupata leseni ya udereva, dili nyingi zinanipita kwa kukosa leseni ya udereva.
Natanguliza shukran zangu za dhati yeyote atakaenisaidia kwa lolote.