Chuo cha UDSM-MCHAS acheni kuua ndoto za watu nakutoa GPA zisizo eleweka

Chuo cha UDSM-MCHAS acheni kuua ndoto za watu nakutoa GPA zisizo eleweka

Putin95

Member
Joined
May 23, 2022
Posts
10
Reaction score
10
Yani ndugu zangu mimi ni mmoja wa waathirika wa uhujumu na ukosefu wa uadilifu na ubora wa elimu katika chuo cha udaktari kilicho anzishwa na UDSM wote tutakubaliana kwamba, kwa udaktari unatolewa ktika vyuo vya serikali unachangamoto ila kwa mchas imedhidi mpaka watu wanaamua kuacha au kutohudhuria kabisa katika klinical rotation na hata kwa wanaokuja intern wajihadhari kwa hospitali ya rufaa Mbeya(mzrh) kitengo cha watoto ni zaidi ya hatari.

Nadhani mpka mkurugenzi wa hospital na chuo pia kishawaandikia barua lakini hawajawahi badirika mfano.
Mtu unaingia kuassesiwa na chief unaambiwa embu toka kavue pete ya ndoa urudi nani amekwambia anataka ajue umeolewa, piah huulizwi guidelines ni majungu na makasiriko mda wote unapokua kwao, kibaya zaidi machief wenyewe hawafundishi wala kupita round na akipita registerer kama esha utapenda anakwambia eti stupor ni state ambayo mgonjwa yupo comfused, like serious na ndo anakuja kukuassess unajibu unaambiwa kwanini ufikie hio diagnosis wew si student. Yani unaweza sifiwa ukitiwa nyavu.

Tumepambana mpka mwisho wamebadili maprincipal ila huku chini ni uozo na ukiebda kuweeleza eti kalalamike kwa mkuu wa kitengo husika, kati yeye ndo anakusimamia clinical.

Ombi na angalizo: wazazi acheni na msithubutu kupeleka watoto wenu pale watapotea na vi GPA na macarry over yakutosha ilihali mtoto ako alikua best student uko advence au olevel na itamuwia vigumu kutoboa katika soko la ajira au kwenda kujiendeleza masters nk.

Chuo sio chuo kama mnavyo nadiwa huko nnje huku ni genge baya na linaendeshwa kiholela na watu wanojali maslai yao kama kulipwa hela za kusimamia carry over.
 
Yani ndugu zangu mimi ni mmoja wa waathirika wa uhujumu na ukosefu wa uadilifu na ubora wa elimu katika chuo cha udaktari kilicho anzishwa na UDSM wote tutakubaliana kwamba, kwa udaktari unatolewa ktika vyuo vya serikali unachangamoto ila kwa mchas imedhidi mpaka watu wanaamua kuacha au kutohudhuria kabisa katika klinical rotation na hata kwa wanaokuja intern wajihadhari kwa hospitali ya rufaa Mbeya(mzrh) kitengo cha watoto ni zaidi ya hatari.

Nadhani mpka mkurugenzi wa hospital na chuo pia kishawaandikia barua lakini hawajawahi badirika mfano.
Mtu unaingia kuassesiwa na chief unaambiwa embu toka kavue pete ya ndoa urudi nani amekwambia anataka ajue umeolewa, piah huulizwi guidelines ni majungu na makasiriko mda wote unapokua kwao, kibaya zaidi machief wenyewe hawafundishi wala kupita round na akipita registerer kama esha utapenda anakwambia eti stupor ni state ambayo mgonjwa yupo comfused, like serious na ndo anakuja kukuassess unajibu unaambiwa kwanini ufikie hio diagnosis wew si student. Yani unaweza sifiwa ukitiwa nyavu.

Tumepambana mpka mwisho wamebadili maprincipal ila huku chini ni uozo na ukiebda kuweeleza eti kalalamike kwa mkuu wa kitengo husika, kati yeye ndo anakusimamia clinical.

Ombi na angalizo: wazazi acheni na msithubutu kupeleka watoto wenu pale watapotea na vi GPA na macarry over yakutosha ilihali mtoto ako alikua best student uko advence au olevel na itamuwia vigumu kutoboa katika soko la ajira au kwenda kujiendeleza masters nk.

Chuo sio chuo kama mnavyo nadiwa huko nnje huku ni genge baya na linaendeshwa kiholela na watu wanojali maslai yao kama kulipwa hela za kusimamia carry over.
Ko mkuu unashauri waende vyuo gani ambavyo kidogo ni nafuu ,ili waweze kutimiza ndoto zao
 
Chuo cha afya pia wana carry?

Hhh! Sijui tuwaamini akina nani kwenye hizi afya zetu.
😅😅 Ulihisi madaktari hawapati vimeo au, ni kama kozi nyingine ila kuna utofauti mkubwa katka mitihani, mkubwa mno kiasi kwamba mudi ya msimamizi wa mtihani inaweza kukufanya ukadiscontinue kabisa
Ko mkuu unashauri waende vyuo gani ambavyo kidogo ni nafuu ,ili waweze kutimiza ndoto zao
Peleka vyuo vya private then ukishindwa ada peleka serikali ila udsm kiwe cha mwisho kuna upuuzi mwingi bado haujakaa vizuri kwa kuwa ni kichanga na kila mwenye mamlaka anafanya awezavyo
 
Husomi halafu utegemee gpa nzuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungejua yanayojiri usingesema inawezekana umesomea muziki pale nyuma ya udbs ila huku rushwa na unyanyasaji umekithiri na hata ukilalamika hamna anaekusikiliza. Mi nimetoka vizuri ila ukiangalia majority walikua na division 1.8 mpka 1.3 na ndo best students uko walikotoka ukifika unakutana na boya mmoja ukikosa swali moja tu assessment imeishia hapo hapo na ndo ushafeli sasa ukifwata assessment sheet huyu mtu hakutakiwa afeli mana inasema discussion ya patient na question ina five marks nikikosa maximum max to deduct ni 5 kati ya 100.
Ila mzee unapigwa 10 ya 100 then unaambiwa ushafeli nenda.
 
Udsm hakunaga marks za bwerere

Hakuna mtu anadai marks za bwerere anaejua apewe na asiyejua asipewe kwa utaratibu mzuri usimpe mtu torture mpaka akahisi kusoma au kufanya mtihani ni vita kama tupo Ukraine.

Mitihani ya udaktari hasa clinical ina bias nyingi mno mno, wakati mwingine mood au matatizo ya examainer ya kifamilia yanaweza bebwa yakafanya group la watu 19 likafeli lote na mlitimiza na ulijibu maswali yote vizuri cha ajabu hamna anaekwambia ulikosea wapi kwa mazingira ambayo ni rafiki, na hata kudai matokeo idara fulani, academic coordinator anaogopa eti nendeni nyie student then mkienda mnazungushwa wee na kejeli juu after sometime utasikia wote mmefeli, apo mshapoteza muda kitaa mpka basi.

Sasa bado unataka kusema hio ndo home of champions sio na ndo mana hata kwenye list ya ubora katika vyuo vya afya kipo chini na hauwezi kuomba kazi mashirika ya kimataifa bado hakijawa recognized, mfano WHO nk na ubest wako unatoka na gpa ya 2.0 unakutana mdau mmoja wa Bugando 4.3 unadhani watajua ulitokea home of champions.

Otherwise uwe na connection
 
Tulia ww ndio maana wakaita UDSM. Tulia upate shule.shule ya huku si shule ni genge tu, yani na div 1:12 form four na div 1:7 form 6 afu chuo 90% wanatoka na gpa 2-3. Kwamba walivyofika chuo akili zilichuja sio mana karibu wote wale wa 2016 walipata one form six na apo discontinuation hujacount.
Ufundishaji wao sio mzuri na assessment zao hazijawahi kua sawa na chief anakua adui wa student kiasi kwamba watu wakiyaona magari yao tu wanajificha sasa ndo nini hii. Hasa pediatrics yan sio friendly yani kuuliza swali unaanzia wapi.
Anyway hujui kinachojili.

Nadhani wazo la magufuli kufunga hii ndaki lilikua poa na tcu walipotikisa kiberiti 2017 kwa kusimamisha ilitakiwa kifungiwe mazima na wanafunzi wapelekwe kwingine kwani lazima kutoa kila kozi katika chuo cha udsm ka ma hawana uwezo na rasilimali waachie wenye uwezo, otherwise watatengwneza mijitu isiyo na ethics kwa kutaka kulipa kisasi kwa yale mabaya yanayotokea
 
1. Ufaulu wa Advance na O level sio lazima u reflect Chuo. Kumbuka siku hizi wanafunzi wanafaulu sana na elimu ni bwerere huko chini. Elimu ya sekondari imerahisishwa ila huku chuo bado ni nondo. So relax na mkaze.

2. Masomo ya udaktari hayataki watu wasio makini. Ukikosea ni umegharimu maisha ya mtu.

3. Hamjasoma rule za labaratory form 1 mpaka mlalamike kuambiwa hakuna kuingia na pete lab?

4. Walimu huwa wanaonea ila kuna wanaofaulu. Waambieni wawape mbinu.

5. Vyuo vilivyo serious havijawahi kuwa rahisi.

NB:
Ukiandika jaribu kuweka paraghraph na vituo. Mwanafunzi wa chuo unaandika hovyo kabsa. Unaandika vifupisho bila nukta.
Punguza jazba.
 
1. Ufaulu wa Advance na O level sio lazima u reflect Chuo. Kumbuka siku hizi wanafunzi wanafaulu sana na elimu ni bwerere huko chini. Elimu ya sekondari imerahisishwa ila huku chuo bado ni nondo. So relax na mkaze.

2. Masomo ya udaktari hayataki watu wasio makini. Ukikosea ni umegharimu maisha ya mtu.

3. Hamjasoma rule za labaratory form 1 mpaka mlalamike kuambiwa hakuna kuingia na pete lab?

4. Walimu huwa wanaonea ila kuna wanaofaulu. Waambieni wawape mbinu.

5. Vyuo vilivyo serious havijawahi kuwa rahisi.

NB:
Ukiandika jaribu kuweka paraghraph na vituo. Mwanafunzi wa chuo unaandika hovyo kabsa. Unaandika vifupisho bila nukta.
Punguza jazba.
Hii comment ina unafiki ndani yake sio bure.!
 
Pelekeni malalamiko yenu ngazi za juu lakini muwe na ushahidi. TCU , UDSM na wizara. Lakini muwe na mshikamano na mjue vizuri Muhimbili na UDOM wanaendeshaje.
 
Ukweli ni kuwa UDSM walikurupuka kuanzisha college of Health ndio maana Magufuli alipowasha moto wakaona wakajifichie Mbeya kwakuwa wana Hospital ya Rufaa ila mimi sikuona umuhimu kabisa wa UDSM kuanzisha college ya afya wakat haijajipanga ata kutoa hiyo course na kusema ukweli kwa kipind kile vilikithiri vyuo uchwara.
Kuna kingine kiliazishwa kimara mwisho njia ya kwenda Bonyokwa ilikuwa inaitwa TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY, Tumaini Mbeya ilikuwa inachekesha eti chuo kikuu[emoji23][emoji23][emoji2223][emoji2223] daah magufuli ata kama alikosea mengine lakn alifanya vitu vya maana sana kuweka misimamo kwenye elimu.
Elimu yetu inhatibiwa na wasomi na wanasiasa.
 
Uwakute wale wamama kule juu kitengo cha watoto,Wana visirani hao... halafu ndio anakufanyia assessment..
Lazima Cha moto ukione, nakuelewa mkuu.
System mbovu pale..hata kwa intern hapafai kwa kweli...wamekaa kukomoa.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Halafu wanakutaka u state a patient case as if we ni professor, usipofanya vile watakavyo utaonekana we boya, wanatumia uelewa wako kama kivuli cha kutoendelea.

Miaka ya 2018, kuna kuna pediatrician mmoja anaitwa SHOMVI MADEVU! amewatesa sana Clinical Officers waliokuwa wanasoma pale yaani hadi somo unalichukia, kwanza gia alokuwa anakuja nayo pale chuo na kigari chake cha NOAH hiyo speed mpaka wakufunzi wenzie wanamshangaa, somo lake la paediatric kuwapa supp darasa zima haoni shida.
Ukweli ni kwamba kama unataka kutoboa na GPA inayoeleweka pale sio pa kwenda!!
 
1. Ufaulu wa Advance na O level sio lazima u reflect Chuo. Kumbuka siku hizi wanafunzi wanafaulu sana na elimu ni bwerere huko chini. Elimu ya sekondari imerahisishwa ila huku chuo bado ni nondo. So relax na mkaze.

2. Masomo ya udaktari hayataki watu wasio makini. Ukikosea ni umegharimu maisha ya mtu.

3. Hamjasoma rule za labaratory form 1 mpaka mlalamike kuambiwa hakuna kuingia na pete lab?

4. Walimu huwa wanaonea ila kuna wanaofaulu. Waambieni wawape mbinu.

5. Vyuo vilivyo serious havijawahi kuwa rahisi.

NB:
Ukiandika jaribu kuweka paraghraph na vituo. Mwanafunzi wa chuo unaandika hovyo kabsa. Unaandika vifupisho bila nukta.
Punguza ja

1. Ufaulu wa Advance na O level sio lazima u reflect Chuo. Kumbuka siku hizi wanafunzi wanafaulu sana na elimu ni bwerere huko chini. Elimu ya sekondari imerahisishwa ila huku chuo bado ni nondo. So relax na mkaze.

2. Masomo ya udaktari hayataki watu wasio makini. Ukikosea ni umegharimu maisha ya mtu.

3. Hamjasoma rule za labaratory form 1 mpaka mlalamike kuambiwa hakuna kuingia na pete lab?

4. Walimu huwa wanaonea ila kuna wanaofaulu. Waambieni wawape mbinu.

5. Vyuo vilivyo serious havijawahi kuwa rahisi.

NB:
Ukiandika jaribu kuweka paraghraph na vituo. Mwanafunzi wa chuo unaandika hovyo kabsa. Unaandika vifupisho bila nukta.
Punguza jazba.
1. Kama pcb rahisi katafute 1;7 uje udsm mchas afu utoke salama. Yani ufundishaji wao sio mzuri na rafiki kwa mwanafunzi nadhani unaweza pitia comment nyingine ukaelewa.
2: mpka nikapata 1;12 na 1;7 na best in physics, math na bio you can imagine kama sikua makini ila sytem unayoenda sasa kama ipo hovyo huwezi toka salama au kama ulivyo plan otherwise wanakuongezea risk za kupata depression.
3:kaka hili sasa nadhani umeweka kifitina au nawe ni mmoja wa washenzi pale chuo. Ushaona wapi rule ya university exam inasema usiingie na pete ya ndoa na sio lab apo. Au unahisi mi sijui sheria za lab sio. Anyway kwa kifupi kama ulikua hujui mitihani yetu ni kama interview vile ile ya oral so unakua face to face na examiner na ndio ataeamua akupe nini, unafukuzwa tu kati sheria haziruhusu
 
1. Kama pcb rahisi katafute 1;7 uje udsm mchas afu utoke salama. Yani ufundishaji wao sio mzuri na rafiki kwa mwanafunzi nadhani unaweza pitia comment nyingine ukaelewa.
2: mpka nikapata 1;12 na 1;7 na best in physics, math na bio you can imagine kama sikua makini ila sytem unayoenda sasa kama ipo hovyo huwezi toka salama au kama ulivyo plan otherwise wanakuongezea risk za kupata depression.
3:kaka hili sasa nadhani umeweka kifitina au nawe ni mmoja wa washenzi pale chuo. Ushaona wapi rule ya university exam inasema usiingie na pete ya ndoa na sio lab apo. Au unahisi mi sijui sheria za lab sio. Anyway kwa kifupi kama ulikua hujui mitihani yetu ni kama interview vile ile ya oral so unakua face to face na examiner na ndio ataeamua akupe nini, unafukuzwa tu kati sheria haziruhusu
Nimekuelewa mkuu...

Pambaneni.
 
Back
Top Bottom