Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni baada ya machafuko yaliyotokea leo hatimaye chuo cha uhasibu Arusha kimefungwa kwa muda usiojulikana mpaka hapo bodi itakapokaa na kufanya maamuzi.
Bongo bhanaaa....
Sijajua itakuwaje kuhusu kumuaga mwenzetu ila nadhani kesho asubuhi ntakuwa huko ntapata taarifa zaidi.
kama ndugu watachukua mwili kesho na watu hawapo chuo hawaoni itakua ni kuongezea hasira watu