Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Umefuta kwa editingNdo nimekuuliza quote hapo mahala nimekwambia unataka uhadhiri- Simple as that.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefuta kwa editingNdo nimekuuliza quote hapo mahala nimekwambia unataka uhadhiri- Simple as that.
Akili yako mkuu, anyway-acha ikae hivyo.Umefuta kwa editing
Yes. Just leave it as it is.Akili yako mkuu, anyway-acha ikae hivyo.
Hiyo ndio mantiki yangu kwa maana hawa wa miaka 23 bado wanakumbuka walivyokariri darasani, mimi nimesahau vya kukariri, nipo practically. Sasa kwanini nisiogope kushindwa. Eti unaniuliza, what's assets and liabilities, hizi si ni dharau sasa
Nimeanza kujifunza assets and liabilities tangia kidato cha kwanza mpaka form six ECA. Lakini siwezi kujibu la hovyo namna hii. Experience miaka 7 kazini alafu unaniuliza maswali ya form one. Bakini na kazi yenu.NB: sasa kama swali la assets and liabilities linakushinda, utafundishaje hao vijana?
All in all, mimi sijaombwa kwa sasa na wala sijawahi kuomba kazi yoyote ya kufundisha chuoni hapo zamani. Nilikuwa ninazungumzia mazingira mazima ya usaili hapa TanzaniaSasa mkuu Interview za vyuo mbona huwa zinakua practically! Unaandaa slides pale za topic fulani then una present pale kama unafundisha then wana ku assess
Sas jmn ticha kwa 1,790,000 Mbna siyo ndogo na hapo Hakuna Kodi embu nenda kapige koz mkuu mm Ni muhitimu wa pale utakutuna na walimu wafuatayo ngowi, shedrac kasika ,madam Temba ,kilingala kigunga malimi ,madam Agnes , nk chuo Cha uhasibu Arusha Ni chuo Ni mahiri San kwa kuwatoa wahasibu waandamizi katak tasis za serekali na mashirika ya umam na kmpuni kubwa binfsi za ndani na nje ya nchi hi ,hvyo jitaidi ukajiunge nao uliuwanoe vijana wetu wawe mahiri kubali tu ufanyiwe interview isje kuwa una gpa kubwa kumbe ulimeza au ukawa na aGpa kubwa ila ukishindwa kutema vitusChuo cha Uhasibu Arusha(IAA) ni chuo kinachomilikiwa na Serikali yetu kupitia wizara ya fedha. Kama ilivyo vyuo vingine vya elimu ya juu na vyuo vikuu wanakuwa na upungufu wa teaching staff(walimu). Tatizo la hawa jamaa ni arrogance yaani kujisikia, majivuni, kujiona wa kipekee wakati ukweli ni kwamba ni chuo cha kawaida kabisa hata siyo Univeristy.
Siku za hivi karibuni walitangaza nafasi kadhaa za part-time, walitaka utume CV na nakala(copies) za vyeti. Sasa cha ajabu eti part-time teaching unataka umfanyie interview mtu ambaye CV yake inaonesha tayari anafundisha aidha ktk chuo kingine cha elimu ya juu au chuo kikuu kingine? Are you serious guys? Kwa kazi ya miezi 4 tu? Mtu atoke Dar Es Salaam, Dodoma,Mwanza au Mbeya kuhudhuria interview siku 2 kwa kazi ya miezi 4?
Kwa hiyo nyie hamuamini vyuo vingine vya elimu ya juu vilivyowaajiri hao wahadhiri? Acheni kiburi na dharau kwa kudhani kuwa watanzania ni maskini kiasi hicho. Msiwanyanyase watanzania kwa kutumia kodi zao wenyewe, hizo pesa ni kodi za watanzania isiwaleweshe.
Nitamshangaa sana mtanzania atakayekubali udhalilishaji huu kwa kuhudhuria hayo ma-interview yao. Watakulipa nini kuzidi utu wako, viwango vyao vinajulikana kwa saa unalipwa sh. 18,000/ jumlisha 10,000/ ya nauli jumla sh. 28,000/. Kwa wiki utafundisha masaa 4 utavuna sh. 112,000/. Semester haizidi wiki 16 ukimaliza vizuri utaambulia sh.1,792,000/. Ukitoa gharama utakazokuwa umetumia plus hii ya interview huna cha maana utakachobakiwa nacho.
Point yangu hasa siyo malipo ni dharau na udhalilishaji eti mtu tayari umeshafundisha miaka pengine km 15 na zaidi ktk vyuo vingine uje ufanyiwe interview na vitoto vidogo kwa kazi ya muda mfupi. Ni vyuo vingi tu vinachukua part-timers hawafanyi upuuzi huu, unawapatia CV yako na pengine unaonesha vyeti au unawaachia nakala za vyeti inatosha. IAA badilikeni enendeni km wenzenu.
Jmaa anakwenda kuchukuwa kuchukuw nafasi ya yule jamaa aliyerecodi akimgegeda mwnafubziSasa hapa ndipo unapozingua
Unaingiza mambo ya age kwnye mambo ya professsion
Unaeza kuta uyo uli mzidi umri kakuzidi elimu na uwezo vizuri kabisa.
Wao wameweka utaratibu wewe kama unaona huwezi basi achana nao fanya mishe zako.
Mimi ni coordinator wa international organization moja, hata miaka 30 sijafika. Ila interview za part time tunafanyia mpaka wazee wa miaka 50 na nawafanyia mimi na wengineo. Wapo wanaopata na wako wanakosa, kuna vijana wadogo tu wana uwezo mkubwa kuliko wazee. Wacha wapewe kazi
Hivi Ngowi bado yupo? Abayo, Msongole, Mlai, Madam Chogo, Casmir Fabian. Daaah kitambo Sana.Sas jmn ticha kwa 1,790,000 Mbna siyo ndogo na hapo Hakuna Kodi embu nenda kapige koz mkuu mm Ni muhitimu wa pale utakutuna na walimu wafuatayo ngowi, shedrac kasika ,madam Temba ,kilingala kigunga malimi ,madam Agnes , nk chuo Cha uhasibu Arusha Ni chuo Ni mahiri San kwa kuwatoa wahasibu waandamizi katak tasis za serekali na mashirika ya umam na kmpuni kubwa binfsi za ndani na nje ya nchi hi ,hvyo jitaidi ukajiunge nao uliuwanoe vijana wetu wawe mahiri kubali tu ufanyiwe interview isje kuwa una gpa kubwa kumbe ulimeza au ukawa na aGpa kubwa ila ukishindwa kutema vitus
Naomba watanzania wenzangu tuelewane jambo moja, siyo kila jambo linaloandikwa mtu una maslahii nalo, huo ni ubinafsi, tuache mawazo ya kibinafsi. Mimi binafsi nimeandika threads kadhaa huko nyuma kuhusu taasisi za serikali sasa utaniambia kila taasisi nna maslahi?Sasa unapingana na utaratibu au???Kazi yoyote Interview ni lazima, watajuaje unaiweza hio kazi?? hata kama umetumika kazi hio sehemu ingine kwa miaka 20 hapo ni sehemu tofauti. Kafanye tu interview mzee hutaki acha, hulazimishwi.
Siyo wewe sorry (nilikusudia huyu mwandishi)Interview ipi tena mkuu?
Hapana mkuu. GPA kubwa akili kubwa. GPA kuanzia 3.5 kwenda juu ni vipanga sana.Unaweza kuwa na GPA ya mchongo kama ya mwigulu alafu hajui ku-deliver
Unaweza kuwa na GPA kubwa ila zero kudeliverHapana mkuu. GPA kubwa akili kubwa. GPA kuanzia 3.5 kwenda juu ni vipanga sana.
Mkuu, ina maana mtu anaweza kuwa na division one kidato cha sita lakini aliyepata division three akaja ku deliver vizuri huko mbele kuliko jeje mwenye one? Hapana mkuu.Unaweza kuwa na GPA kubwa ila zero kudeliver
Tuzungumzie GPA acha hizo za form three.Mkuu, ina maana mtu anaweza kuwa na division one kidato cha sita lakini aliyepata division three akaja ku deliver vizuri huko mbele kuliko jeje mwenye one? Hapana mkuu.
Cc JoseverestChuo cha Uhasibu Arusha(IAA) ni chuo kinachomilikiwa na Serikali yetu kupitia wizara ya fedha. Kama ilivyo vyuo vingine vya elimu ya juu na vyuo vikuu wanakuwa na upungufu wa teaching staff(walimu). Tatizo la hawa jamaa ni arrogance yaani kujisikia, majivuni, kujiona wa kipekee wakati ukweli ni kwamba ni chuo cha kawaida kabisa hata siyo Univeristy.
Siku za hivi karibuni walitangaza nafasi kadhaa za part-time, walitaka utume CV na nakala(copies) za vyeti. Sasa cha ajabu eti part-time teaching unataka umfanyie interview mtu ambaye CV yake inaonesha tayari anafundisha aidha ktk chuo kingine cha elimu ya juu au chuo kikuu kingine? Are you serious guys? Kwa kazi ya miezi 4 tu? Mtu atoke Dar Es Salaam, Dodoma,Mwanza au Mbeya kuhudhuria interview siku 2 kwa kazi ya miezi 4?
Kwa hiyo nyie hamuamini vyuo vingine vya elimu ya juu vilivyowaajiri hao wahadhiri? Acheni kiburi na dharau kwa kudhani kuwa watanzania ni maskini kiasi hicho. Msiwanyanyase watanzania kwa kutumia kodi zao wenyewe, hizo pesa ni kodi za watanzania isiwaleweshe.
Nitamshangaa sana mtanzania atakayekubali udhalilishaji huu kwa kuhudhuria hayo ma-interview yao. Watakulipa nini kuzidi utu wako, viwango vyao vinajulikana kwa saa unalipwa sh. 18,000/ jumlisha 10,000/ ya nauli jumla sh. 28,000/. Kwa wiki utafundisha masaa 4 utavuna sh. 112,000/. Semester haizidi wiki 16 ukimaliza vizuri utaambulia sh.1,792,000/. Ukitoa gharama utakazokuwa umetumia plus hii ya interview huna cha maana utakachobakiwa nacho.
Point yangu hasa siyo malipo ni dharau na udhalilishaji eti mtu tayari umeshafundisha miaka pengine km 15 na zaidi ktk vyuo vingine uje ufanyiwe interview na vitoto vidogo kwa kazi ya muda mfupi. Ni vyuo vingi tu vinachukua part-timers hawafanyi upuuzi huu, unawapatia CV yako na pengine unaonesha vyeti au unawaachia nakala za vyeti inatosha. IAA badilikeni enendeni km wenzenu.
Binafsi sijawahi kukutana na graduate mwenye GPA kubwa (from 3.5 and above) alafu delivering yake ni mbovu. Hao jamaa wana uwezo mkubwa saaana.Tuzungumzie GPA acha hizo za form three.
Umekutana nao wapi chief 😃Binafsi sijawahi kukutana na graduate mwenye GPA kubwa (from 3.5 and above) alafu delivering yake ni mbovu. Hao jamaa wana uwezo mkubwa saaana.
Ofisi mbalimbali nilizowahi kufanya kaziUmekutana nao wapi chief 😃