Chuo cha Ustawi wa Jamii: Wanafunzi wanachagua wenyewe kusoma asubuhi au Mchana, tunawashauri wakae karibu na Chuo

Daah ndugu yangu.. kweli ww sijui unatumia nini kuwaza.. nahisi utakuwa mpagani labda.. ama tu unachuki na waislam.. kila mmoja ana haki ya kuabudu chochote na yeyote.. na uhuru huo hauwez kutufarakanisha kwa lolote.. kwo wakivaa hijabu ndo vita ama🤣🤣🤣🤣 muislamu kumvua hijabu yake ni kumdhalilisha na anakuwa anatoka katika misingi yake ya kiimani..
 
Tumia akili kabla ya hijabu dini zilikuwepo ..kwa sababu dini siyo kuvaa hijabu..hata katika uislamu hijabu siyo moja ya nguzo za dini unajua kwanini ? Swali mfano ungemuuliza mtume muhammad kuwa mke wake avae hijabu na ikabu kisha awe malaya ndani ya vazi la hijabu na ikabu au asivae hijabu na ikabu asiwe malaya wewe unadhani muhammad angechagua nini ?nimesema mambo ya dini yasiwepo kwenye mashule ya serikali na hata za binafsi tutakuja kujuta ...ukiwa na akili finyu unakuwa kama kipofu uwezi kuona anguko
 
Chakujiuliza ni je kama hawa wanafunzi mmewagawa katika makundi mawili Vipi Kwa walimu wanaofundisha muna walimu wa kutosha kuingia shift?Mtumishi atoke asubuhi aje kazini halafu afanye kazi mpaka saa nne usiku halafu tutegemee kuzalisha wasomi walioiva kweli?Mna hostel hapo za kuhudumia wanafunzi wote kulala hapo chuoni?Kwanini mchukue idadi kubwa ya wanafunzi wakati mnajua venue Zenu hazitoshi Huku hali kuna vyuo vinahitaji wanafunzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…