Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mawazo haya unadhani tutaendelea lini? Unawaza papuch tu na utumiaji mbovu wa pesa. Mademu wakali wana mchango gani kwe maisha yako. Ama wewe unataka kuwa meneja wa mamiss
Kwan hujui hili jukwaa ni la post za hovyohovyo?Hii thread haina tofauti na post za kule Fesibuku
ww ambae unakazi umekuja kufanya nn kwenye jukwaa la hovyohovyo?Ninaanza kumwelewa Magu anaposema watu wafanye kazi, mleta uzi umekosa kazi hadi uwaze ujinga huu!!!
ww ambae unakazi umekuja kufanya nn kwenye jukwaa la hovyohovyo?Ninaanza kumwelewa Magu anaposema watu wafanye kazi, mleta uzi umekosa kazi hadi uwaze ujinga huu!!!
ukitaka topic serious yapo mkuusiyo siri jaman topic za ajab ajab zimezid sasa
mweer!!
Hutak tukatembelee hicho chuo?!Huu ni zaidi ya upuuzi.
Hapana kwakweliHutak tukatembelee hicho chuo?!
Kwann sasa....watu wanataka infoHapana kwakweli
zimezid sana....upo lknsiyo siri jaman topic za ajab ajab zimezid sasa
mweer!!
nipoo, ....ulienda wap?....maana si kwa kupotea hukozimezid sana....upo lkn
hehe majukumu mengi...nipoo, ....ulienda wap?....maana si kwa kupotea huko
We Azarel wewe. Ushindwe na ulegee! Nimecheka sana!Kolomije International University. (KIU), shinyanga campus
tuwe tuna agana bas jamanhehe majukumu mengi...