poa poatuwe tuna agana bas jaman
maana nlikuwa naskitika skuoni kabsa humu
Wale ni maintallectual wenzako acha ushamba kama unaangalia madem subiri supKwa upande wangu IFM ndio kiboko.
bas poa nimefurahi kuku seepoa poa
Cha kiislam morogoroChuo cha Biblia Arusha.
Mkuu still88 ,wala usipate tabu watu aina ya General Mangi ndio wanaoongoza kwa kuchek porno hawafanyi ngono ,na wakifanya basi hufanya na binamu zao ,hao ni aina ya watu wasiowajua vizuri watu wa jinsia tofauti na wao kiasi kwamba wanapokuwa exposed kwao hutumia myda mwi gi kuwa fantasize !hakika jamaa saizi atakuwa anahesabu wenye vyura ,chuchu mwiba ili akapige puu aje kutusumbua na mada nyingine!Kwa mawazo haya unadhani tutaendelea lini? Unawaza papuch tu na utumiaji mbovu wa pesa. Mademu wakali wana mchango gani kwe maisha yako. Ama wewe unataka kuwa meneja wa mamiss
Tena huyo aliyeleta huu upuuzi ni mwanachuo!siashangai kuwa na maprofessor wa ajabu maana kuna wengine wanatengezwa sasa!siyo siri jaman topic za ajab ajab zimezid sasa
mweer!!
Kweli wewe mwanachuo kwa hiyo ku socialize kwako ni kuwa na ujinga ujinga na kuuliza swali while u meant it halafu ukibanwa unajifanya it was nothing but foolin around?mjinga jinga peke yako au subiri wanachuo wenzako mujadili kwa mapana na marefu watu pa kupata mademu wakali nyambaf!Mkuu hii ni social forum, jukwaa hili ni la maujinga ujingaa, km ni masuala ya maendeleo kuna majukwaa yake.