Chuo gani bora kwa Computer Science Tanzania?(Kwa ngazi ya Diploma)

Mku
Mkuu,ebu niongezee maarifa hapa nipate ujuzi zaidi.
Michakato ya kujiunga ikoje hapa?
Samahani kwa usumbufu!
 
Hivi ndio vyuo bora

1. Youtube

2. Udemy

😂 😂 watu walidanganywa! content zilizopo uko ni za kitoto na huezi kua competent kwenye anga za kimataifa utabaki tu kutengeneza project za watoto, ili uwe nondo lazima uende chuo chenye mpaka maths ndo unaingia kwa wale wanaolipwa mil 200 kwa mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…