Chuo gani cha afya ni kizuri kusoma Diploma ya Clinical Officer?

Chuo gani cha afya ni kizuri kusoma Diploma ya Clinical Officer?

She Quoted you

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2020
Posts
687
Reaction score
1,184
Tafadhali rejea kichwa Cha habari tajwa hapo juu.

Nina mdogo wangu amemaliza form four anataka aende kusoma diploma ya C.O, je chuo gani ni kizuri nimsaidie kuapply?

Namaanisha uzuri wa mazingira ya ufundishaji na pia ufaulishaji.

Nasikia vyuo vya government ndio hufaulisha kuliko private je ni kweli?

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom