Chuo gani cha afya ni kizuri kusoma Diploma ya Clinical Officer?

Chuo gani cha afya ni kizuri kusoma Diploma ya Clinical Officer?

Chuo kizuri pekee kwa vyuo vya kati ni Lugalo kinaitwa Military collage of medical science (MCMS). Ni chuo bora sana ila wanachukua div one pekee
Duh kama ni hivyo hawana walimu wazuri. Una chukua top cream tu akimaliza kozi awe na GPA ya 4.5 ujidai kuwa unafundisha vizuri. Chukua div 3 mnoe apate 3.5 kwenda juu ndo ujigambe.
 
Duh kama ni hivyo hawana walimu wazuri. Una chukua top cream tu akimaliza kozi awe na GPA ya 4.5 ujidai kuwa unafundisha vizuri. Chukua div 3 mnoe apate 3.5 kwenda juu ndo ujigambe.
Wewe unajua maana ya elimu. I bet vyuo vya private vinapokea Division four na kutoa first class. Nenda mbweni uone
 
Form four aanze na diploma!!? Hapo ataanza chet mkuu kisha ataenda dip na panapp majaliwa degree
We wa kitambo siku hizi Afya hakuna Certificate. Ni unalamba Diploma na D zako nne Pale Green Bird au Kilinze fureshi tu.
 
Back
Top Bottom