Wana jf ndugu yangu kamaliza f6 mwaka jana HGK kapata 2 ya 12 ila anataka kuapply chuo kitivo cha PROJECT PLANNING MANAGEMENT AND COMMUNITY DEVELOPMENT. Je chuo gan wana offer hyo facult, na anastahili?
kumbe kasoma kombi za "kimbebez" mwambie akauze mama ntilie!...mwanaume mzma unasoma kombi za kike!...heshima iko wapi sasa!
kumbe kasoma kombi za "kimbebez" mwambie akauze mama ntilie!...mwanaume mzma unasoma kombi za kike!...heshima iko wapi sasa!
ila kweli mdau..
Wana jf ndugu yangu kamaliza f6 mwaka jana HGK kapata 2 ya 12 ila anataka kuapply chuo kitivo cha PROJECT PLANNING MANAGEMENT AND COMMUNITY DEVELOPMENT. Je chuo gan wana offer hyo facult, na anastahili?
kumbe kasoma kombi za "kimbebez" mwambie akauze mama ntilie!...mwanaume mzma unasoma kombi za kike!...heshima iko wapi sasa!
Kombi za kike ndio zipi ?
Na za kiume ndio zipi?
Unatumia nini kuzitofautisha ?
Na ukisoma hizo za kiume unakuwaje kimaisha ?
Na wale waliosoma za kike wanakuwa na tofauti gani kimaisha?
Wana jf ndugu yangu kamaliza f6 mwaka jana HGK kapata 2 ya 12 ila anataka kuapply chuo kitivo cha PROJECT PLANNING MANAGEMENT AND COMMUNITY DEVELOPMENT. Je chuo gan wana offer hyo facult, na anastahili?
kumbe kasoma kombi za "kimbebez" mwambie akauze mama ntilie!...mwanaume mzma unasoma kombi za kike!...heshima iko wapi sasa!
Wana jf ndugu yangu kamaliza f6 mwaka jana HGK kapata 2 ya 12 ila anataka kuapply chuo kitivo cha PROJECT PLANNING MANAGEMENT AND COMMUNITY DEVELOPMENT. Je chuo gan wana offer hyo facult, na anastahili?
kumbe kasoma kombi za "kimbebez" mwambie akauze mama ntilie!...mwanaume mzma unasoma kombi za kike!...heshima iko wapi sasa!
Wana jf ndugu yangu kamaliza f6 mwaka jana HGK kapata 2 ya 12 ila anataka kuapply chuo kitivo cha PROJECT PLANNING MANAGEMENT AND COMMUNITY DEVELOPMENT. Je chuo gan wana offer hyo facult, na anastahili?
Hao hao unaodai wamesoma kombi za kimbebez ndo hao hao ambao wanakuongoza maofisini kwenu kama ma Human Resources na Adminstrators Managers/Officers..
Jinga Kabisa Wewe.