Hicho chuo anaenda kukinunua ama kusoma tu? Jina la chuo haliuzi mtu ndugu yangu, kupata mafanikio kwenye ajira itategemea uelewa wake wa mambo na jinsi atakavyojiuza sokoni. As long as chuo kimesajiliwa na atapata cheti halali, sijaona tatizo.
Hicho chuo anaenda kukinunua ama kusoma tu? Jina la chuo haliuzi mtu ndugu yangu, kupata mafanikio kwenye ajira itategemea uelewa wake wa mambo na jinsi atakavyojiuza sokoni. As long as chuo kimesajiliwa na atapata cheti halali, sijaona tatizo.