Jamani wasomi hamjambo?Nataka nimpeleke mdogo wangu MUSOMA UTALII COLLEGE TAWI LA TABORA.JE Hivi vyuo visivyo na majina makubwa vinafaa?Vp wakati wa kutafuta ajira atatambulika kama msomi?Nimewauliza wameniambia wamesajiliwa kwa REG no .VTC/C.30/816
MSAADA JAMANI...nimpeleke au niache?
MSAADA JAMANI...nimpeleke au niache?