Chuo Hupambwa na elimu bora, mandhari, hadhi na Warembo. Je, ni Chuo gani chenye Warembo zaidi Tanzania?

Chuo Hupambwa na elimu bora, mandhari, hadhi na Warembo. Je, ni Chuo gani chenye Warembo zaidi Tanzania?

Johnyy

Member
Joined
Dec 21, 2018
Posts
93
Reaction score
39
Hlw wana jf tena,

Taaluma huenda kando na refreshment na chuo hupambwa na elimu bora, hadhi ya chuo(Status) na pia idadi ya warembo wanaomotivate masomo.

kumekua na ubishi wa ushindani wa vyuo juu ya uwepo wa Warembo katika vyuo husika Tuondoe utata chuo gani kina Warembo wengi?

Kama mada haikakuhusu usicomment
 
Hlw wana jf tena,Taaluma huenda kando na refreshment na chuo hupambwa na elimu bora,hadhi ya chuo(Status) na pia idadi ya warembo wanaomotivate masomo ,,kumekua na ubishi wa ushindani wa vyuo juu ya uwepo wa Warembo ktk vyuo husika Tuondoe utata chuo gani kina Warembo wengi??? Kama mada haikakuhusu usicomment usirious wako peleka darasani
Kuna chuo fulani hapo kati inaitwa Madrasa Batul Ina watoto wakali balaaa
 
IFM no ubishi maana ndio wauza papuchi maarufu duniani wanatokea pale.
 
Hapa napo jibu ulipata?
Hlw wana jf tena,

Taaluma huenda kando na refreshment na chuo hupambwa na elimu bora, hadhi ya chuo(Status) na pia idadi ya warembo wanaomotivate masomo.

kumekua na ubishi wa ushindani wa vyuo juu ya uwepo wa Warembo katika vyuo husika Tuondoe utata chuo gani kina Warembo wengi?

Kama mada haikakuhusu usicomment
 
Back
Top Bottom