kipusatembo
Member
- Jun 19, 2014
- 88
- 29
Sidhani kama ni kawaida kwa vyuo vingne kukataa matokeo ya mwalimu fulani kuwa eti wanafunzi wamefaulu sana na arudie upya kusahihisha wakitaka wanafunzi wafeli ili uongozi upate pesa za SUPPLEMENTARY EXAMZ maana kwa chuo hicho mitihani hulipiwa Tshs.25,000/= kila mtihani hivo mtu akiwa na mitihani mitatu maana yake Tshs.75,000/= inamuhusu aisee......
alichokisema mwalimi ni kuwa wanafunzi wangu wamefauli kwa maana nliwafundisha vizuri ila uongozi ukatia ngumu na kumsimamisha kazi mwalimu wa watu poleh Mr. Sayi.
Je hii ni sawa kweli wadau ama ni ushamba wangu tuu....
alichokisema mwalimi ni kuwa wanafunzi wangu wamefauli kwa maana nliwafundisha vizuri ila uongozi ukatia ngumu na kumsimamisha kazi mwalimu wa watu poleh Mr. Sayi.
Je hii ni sawa kweli wadau ama ni ushamba wangu tuu....