Chuo Kikuu cha Biashara (CBE) chamtunuku David Kafulila ngao ya heshima kwa kusimamia ukuzwaji wa sera za Uchumi Jumuishi nchini

Haya aongeze mbinu na TTCL iende PPP
 
Kafulia anamwaga vipesa vya mshahara kutafuta umaarufu apate vyeoπŸ˜πŸ˜“ wenyeakili washajua haka ka... kanajidai katembo
 
Safi Prof Luoga Ms
 
Hongera sana Kafulila
 
Hata Yanga wanayo
.ngao

Nkajua u dk
 
CBE wamejitambua sana
 
Huyu afanye kazi atulie, ngao hizi hazina tofauti na ile Ph.D ya Babu Tale.
 
Hongera PPP
 

Si wangesubiri basi lijengwe hata bweni moja la watu 50 kwanza ndio wampe? Nchi hii ina maigizo mengi sana hasa kunapolekea uchafuzi, tulishagaletewa treni na mwakyembe ya kufikirika ya umeme kwa mbwembwe nyingi kama hizi na ikazama katiba bahari ya sahau kama kawaida! Just too soon kutoa ngao na upinde wkt mabweni bado yapo kwenye makaratasi
 
Kafulila anahangaika sana humu JF
 
Stupid thinking kwa Kafulila na Chuo kilichofanya haya. Productivity ya vyuo haipimwi kwa idadi ya wanachuo wanaokaa campus au walio enroll. Bali hupimwa kwa tafiti, machapisho, ushauri wa kutaalamu wanao utoa.

Mambo ya kujenga mabweni siyo core activity ya chuo. Chuo kiandae maprofesa wazuri wenye taaluma, Maktaba za kisasa, Tehama na Lecture halls, wanafunzi watakuja wenyewe kusoma kutoka popote. Masuala ya wanalala wapi yamepitwa na wakati
 
Acha makasiriko, Kazi anazofanya Kafulila zinaacha alama kwa Taifa,

Kuwa mwelewa
 
Acha makasiriko, Kazi anazofanya Kafulila zinaacha alama kwa Taifa,

Kuwa mwelewa
Alama gani? Kwanza Kafulila siyo Afisa Masuuri (Accounting Officer), anawajibika kwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha.

Mbona mnamtukuza huyu tumbili mdogo tu wala hana mamlaka hayo mnayoyasema!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…