Mbangaizaji wa Taifa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 493
- 844
Ila wewe jamaa daaahNimegonga sana BIA pale na Cresentius Magori wa SC na Mr Irungu wakiwa Walimu CBE 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe jamaa daaahNimegonga sana BIA pale na Cresentius Magori wa SC na Mr Irungu wakiwa Walimu CBE 😂😂😂
Wazee wa CBE kuna mtu anaitwa Osward Chenyenge unamkumbuka?Nimegonga sana BIA pale na Cresentius Magori wa SC na Mr Irungu wakiwa Walimu CBE 😂😂😂
Mwanasiasa tu hana lolote anageanza na mashirika ya umma mfano ttcl, atcl, mwendokasi nk sio kiła uchwao kutuletea hadithi za kusadikikaKafulila ni mtu mzuri
Hongera sana Cde David KafulilaView attachment 3101816
===
Chuo Cha Usimamizi wa Fedha na Biashara Cha CBE nchi Tanzania kimemtunuku Mhe David Zacharia Kafulila ngao ya heshima kwa uchapakazi wake uliotukuka kwa Taifa lake.
Mkuu wa chuo hicho Prof. Eddnah Luoga asema chuo chake kimeamua kumtunuku ngao hiyo ya heshima katika kutambua juhudi zake kwenye kumpata mbia mwekezaji toka sekta binafsi atakayejenga mabweni katika chuo hicho yatakatokuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi elfu 12 kwa mara moja.
Mwekezaji huyo atawekeza kwa sharti la Ubia ili kukabiliana na changamoto za wanafunzi kuishi mbali na eneo la chuo hicho jambo ambalo hupunguza zaidi ari, ufaulu na nguvu za kimasomo kwa wanafunzi.
David Zacharia Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi Tanzania PPPC amekuwa akisisitiza wakati wote kuwa lazima Tanzà nia ifike wakati ambao Serikali yetu itapunguziwa mzigo katika kutekeleza miradi yake ya maendeleo hasa ile yenye sura ya kibiashara.
Mkurugenzi huyo anasema kwa kufanya hivyo kutaipunguzia Serikali mzigo na kuifanya itekeleze baadhi ya miradi yake ya maendeleo nje ya bajeti yake hasa ile yenye sura ya kibiashara ( projects contraction outside the government balance sheet )
===
View attachment 3104529
Kwanini isiwe PHD?View attachment 3101816
===
Chuo Cha Usimamizi wa Fedha na Biashara CBE nchi Tanzania kimemtunuku Mhe David Zacharia Kafulila ngao ya heshima kwa uchapakazi wake uliotukuka kwa Taifa lake la Tanzania.
Mkuu wa chuo hicho Prof. Eddnah Luoga amesema chuo chake kimeamua kumtunuku ngao hiyo ya heshima katika kutambua juhudi zake kwenye kumpata mbia mwekezaji toka sekta binafsi atakayejenga mabweni katika chuo hicho yatakayokuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi elfu 12 kwa mara moja au kwa Mkupuo.
Mwekezaji huyo atawekeza kwa sharti la Ubia ili kukabiliana na changamoto za wanafunzi kuishi mbali na eneo la chuo hicho jambo ambalo hupunguza zaidi ari, ufaulu na nguvu za kimasomo kwa wanafunzi wa chuo hicho hasa wanaoishi mbali na mazingira ya chuo hicho.
David Zacharia Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi Tanzania PPPC amekuwa akisisitiza wakati wote kuwa lazima Tanzà nia ifike wakati ambao Serikali yetu itapunguziwa mzigo katika kutekeleza miradi yake ya maendeleo hasa ile yenye sura ya kibiashara.
Mkurugenzi huyo anasema kwa kufanya hivyo kutaipunguzia Serikali hiyo mzigo na kuifanya itekeleze baadhi ya miradi yake ya maendeleo nje ya bajeti yake hasa ile yenye sura ya kibiashara kama huu wa Ujenzi wa mabweni ( projects contraction outside the government balance sheet )
===
View attachment 3104529
Hii imekaa vizuri bwana KafulilaView attachment 3101816
===
Chuo Cha Usimamizi wa Fedha na Biashara CBE nchi Tanzania kimemtunuku Mhe David Zacharia Kafulila ngao ya heshima kwa uchapakazi wake uliotukuka kwa Taifa lake la Tanzania.
Mkuu wa chuo hicho Prof. Eddnah Luoga amesema chuo chake kimeamua kumtunuku ngao hiyo ya heshima katika kutambua juhudi zake kwenye kumpata mbia mwekezaji toka sekta binafsi atakayejenga mabweni katika chuo hicho yatakayokuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi elfu 12 kwa mara moja au kwa Mkupuo.
Mwekezaji huyo atawekeza kwa sharti la Ubia ili kukabiliana na changamoto za wanafunzi kuishi mbali na eneo la chuo hicho jambo ambalo hupunguza zaidi ari, ufaulu na nguvu za kimasomo kwa wanafunzi wa chuo hicho hasa wanaoishi mbali na mazingira ya chuo hicho.
David Zacharia Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi Tanzania PPPC amekuwa akisisitiza wakati wote kuwa lazima Tanzà nia ifike wakati ambao Serikali yetu itapunguziwa mzigo katika kutekeleza miradi yake ya maendeleo hasa ile yenye sura ya kibiashara.
Mkurugenzi huyo anasema kwa kufanya hivyo kutaipunguzia Serikali hiyo mzigo na kuifanya itekeleze baadhi ya miradi yake ya maendeleo nje ya bajeti yake hasa ile yenye sura ya kibiashara kama huu wa Ujenzi wa mabweni ( projects contraction outside the government balance sheet )
===
View attachment 3104529
Mtoa mada kichaa, kwanza cbe hakijawahi kuwa chuo kinachofunza usimamizi wa fedha, hayo ya kusimamia Ankara aende IFMVyuo huwa vinatoa digrii za heshima hayo ya ngao Chuo kutoa ndio nayasikia leo
Ngao mara nyingi hutolewa na machifu kwa mhusika
CBE wameanza kutoa ngao kama chuo?