Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
dah kuna mijitu mingine jf cyo mahala pao kabisa unaelewa maana ya university?ukiwa university oa lewa jiuze vuta bangi is up 2 u cha msingi usisup na kucarry au kudisco pia chuo gani tz hakina wajawazito mi nipo ud mwaka wa 3 nipo na wangu na tumepata mtoto mwaka wa 2 tatizo nini maisha ni kupanga acha umbulula
Salaam wana JF,
Ninasikitishwa na hali ilivyo katika Chuo Kikuu Cha Jordan Morogoro.Ifahamike kuwa chuo hiki ni tawi la chuo kikuu cha Mt. Agustino Tanzania(SAUT)na kimeanzishwa mwaka 2010 kwa kozi ya Sanaa na Elimu(BAED)Awali, kilijulikana kama Salvatorian Institute of Philosophy and Theology.Idadi kubwa ya wanafunzi wa kike hususan wale wa mwaka wa pili na wa tatu wanaosoma kitivo cha Elimu wana mimba ambazo inasadikika kuwa wamezipata wakiwa hapo hapo Chuoni.Wakati huo huo kuna idadi kubwa ya wanafunzi ambao tayari wamekwisha jifungua na kulazimika kuhama hostel na kupanga mitaani wakilea watoto wao wakati huo huo wakiendelea na masomo.
Kutokana na hali hiyo,chuo hicho kwa sasa kimegeuka kituo cha kulelea wajawazito badala ya kuwa taasisi ya Elimu ya Juu.
asante waambie bhana vyuo vingi wanawake wana watotoHumu ndani wengi bado wana akili ya sekondari, hii mada haina maslahi kwa taifa.Kumbuka vyuo wana soma watu wazima sio nursery pale
Kanisa haliruhusu matumizi ya kondomu ndio maana mimba zinakuwa za kumwaga!
kwani umesikia ni sec school hiyo? hata hivyo wote ni watu wazima wanajua nn wanafanya!Salaam wana JF,
Ninasikitishwa na hali ilivyo katika Chuo Kikuu Cha Jordan Morogoro.Ifahamike kuwa chuo hiki ni tawi la chuo kikuu cha Mt. Agustino Tanzania(SAUT)na kimeanzishwa mwaka 2010 kwa kozi ya Sanaa na Elimu(BAED)Awali, kilijulikana kama Salvatorian Institute of Philosophy and Theology.Idadi kubwa ya wanafunzi wa kike hususan wale wa mwaka wa pili na wa tatu wanaosoma kitivo cha Elimu wana mimba ambazo inasadikika kuwa wamezipata wakiwa hapo hapo Chuoni.Wakati huo huo kuna idadi kubwa ya wanafunzi ambao tayari wamekwisha jifungua na kulazimika kuhama hostel na kupanga mitaani wakilea watoto wao wakati huo huo wakiendelea na masomo.
Kutokana na hali hiyo,chuo hicho kwa sasa kimegeuka kituo cha kulelea wajawazito badala ya kuwa taasisi ya Elimu ya Juu.
sikuungi mkono kwa ujinga wako huukwani umesikia ni sec school hiyo? Hata hivyo wote ni watu wazima wanajua nn wanafanya!
Tafuta mmoja nawe ummimbe then mtakua even....hahahahahahahahahaha!
Umechemka.....teh teh teh