real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
KENYA: Chuo Kikuu cha Kenyatta kimefungwa kwa muda usiofahamika baada ya wanafunzi kufanya vurugu
Walikuwa wakipinga mauji ya mwanafunzi wa kike anayedaiwa kuuawa na madereva wa bodaboda na mwili wake kutupwa barabarani na pia kuzuia kwa uchaguzi wa serikali ya wanafunzi
Wanafunzi hao wameamriwa kuondoka maeneo ya chuo hadi saa tatu asubuhi Ijumaa hii
Siku ya Jumatano, chuo hicho kilitangaza kufuta ratiba za masomo kutokana na mgomo wa wahadhiri unaoendelea
Chanzo: The Star
Walikuwa wakipinga mauji ya mwanafunzi wa kike anayedaiwa kuuawa na madereva wa bodaboda na mwili wake kutupwa barabarani na pia kuzuia kwa uchaguzi wa serikali ya wanafunzi
Wanafunzi hao wameamriwa kuondoka maeneo ya chuo hadi saa tatu asubuhi Ijumaa hii
Siku ya Jumatano, chuo hicho kilitangaza kufuta ratiba za masomo kutokana na mgomo wa wahadhiri unaoendelea
Chanzo: The Star