Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha EA wamtunuku Prof. Anna Tibaijuka

Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha EA wamtunuku Prof. Anna Tibaijuka

Atakuwa ni mkatoliki huyu. Jamaa huwa hawakawii kuwainua watu wao ili mradi unaibusu ile pete ya Askofu wao.

Na wewe kichwa chako kitakuwa kigumu kuelewa. Jamaa wamekumbusha jinsi wakatoliki dunia nzima ilivyopiga kelele Barack Obama kupewa nishani na Chuo Kikuu cha Kikatoliki huko Marekani.

Je, Obama ni mkatoliki?
 
Back
Top Bottom