Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha EA wamtunuku Prof. Anna Tibaijuka

Atakuwa ni mkatoliki huyu. Jamaa huwa hawakawii kuwainua watu wao ili mradi unaibusu ile pete ya Askofu wao.

Na wewe kichwa chako kitakuwa kigumu kuelewa. Jamaa wamekumbusha jinsi wakatoliki dunia nzima ilivyopiga kelele Barack Obama kupewa nishani na Chuo Kikuu cha Kikatoliki huko Marekani.

Je, Obama ni mkatoliki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…