Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Walaani nini sasa hapo mtu kaenda mwenyewe Club usiku na katoa mzigo mwenyewe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washenzi tu, hata idara ya students well being, kimya,mapadre na wao, wanasubili uteuzi,Nilitarajia Chuo Kikuu cha SAUT ambacho kimetajwa sana katika mitandao kuhusu tukio la mmoja wa wanachuo, walau kiseme kaneno kamoja kuhusu jamii inayoishi hapo na maadili.
Labda pengine kitendo kilichofanywa ni cha kawaida kwa wanafunzi wao. Wazazi wenye watoto hapo SAUT roho ziko juu juu.
N.B: hicho ni chuo cha Mtakatifu Augustine, mali ya Kanisa Katoliki,hii ni kwa ambao hawajaelewa
Sasa kama katoa mzigo mwenyewe iweje mkuu wa mkoa wamwondoe kwenye Nafasi yake....Huyu Binti atakuwa ni muhuni sana na wa kufukuzwa shule anatuchafulia chuo chetu.Walaani nini sasa hapo mtu kaenda mwenyewe Club usiku na katoa mzigo mwenyewe...
labda naye awe ni mchawi konk, ni kulogwa tu huyo binti. Itabdi ndugu zake wamuwahishe kupata kinga za kichawi ili asilipiziwe kisasi. Ujasiri alioufanya si wa kawaida. Ubunyuliwe nyuma halafu usanue hiyo si akili ya kawaidaKesi ya jinai ni mali ya Jamhuri, kwa maana ya DPP, labda wacheze na ushahidi waweke DNA za mtu mwingine. Halafu akatakatishwe Mahakamani ndani ya siku chache kabla ya Disemba. Inapigwa no case to answer.
Ila ajiandae kupigwa majini na uchawi ambao hajawahi kuuona, na inawezekana akaanza kuoza mwili mzima akiwa hai
Wew una chuo? Una hisa na SAUT?Sasa kama katoa mzigo mwenyewe iweje mkuu wa mkoa wamwondoe kwenye Nafasi yake....Huyu Binti atakuwa ni muhuni sana na wa kufukuzwa shule anatuchafulia chuo chetu.
Tanzania watu wanatafutiana skendo ili ufukuzwe kazi kila unapofanya kitu ni kuwa makini sana mtu Malaya anapatikana Club saa sita usiku anatengeneza dili na wahuni wenzie ili apate hela tu..Sasa kama katoa mzigo mwenyewe iweje mkuu wa mkoa wamwondoe kwenye Nafasi yake....Huyu Binti atakuwa ni muhuni sana na wa kufukuzwa shule anatuchafulia chuo chetu.
Naomi ..Huyu dem kazoefu kwa kuliwa mtaro tu
Ova
Chuo kilimtuma kwenda kufanya ukahaba?Nilitarajia Chuo Kikuu cha SAUT ambacho kimetajwa sana katika mitandao kuhusu tukio la mmoja wa wanachuo, walau kiseme kaneno kamoja kuhusu jamii inayoishi hapo na maadili.
Labda pengine kitendo kilichofanywa ni cha kawaida kwa wanafunzi wao. Wazazi wenye watoto hapo SAUT roho ziko juu juu.
N.B: hicho ni chuo cha Mtakatifu Augustine, mali ya Kanisa Katoliki,hii ni kwa ambao hawajaelewa
Kwani huyo mtoto anassoma chuo cha SAUT sasa?Mmeanza Nongwa waja, kwan tukio kafanyia mazingira ya chuo? Au mda wa vipindi? Maadili gani mnayozungumzia hapa?
Huko vyuoni kuna maadili gani sasa? Hebu acheni mtoto aendelee na masomo ya chuo, huko kusagia kunguni afukuzwe ni roho mbayaa.
Mbona kashachukuliwa hatua kama upelelezi bado!?Upelelezi haujakamilika
AIIseee, wewe kweli sasa unajipambanua kwelikweli na ajenda unayoipigania kila siku!Nilitarajia Chuo Kikuu cha SAUT ambacho kimetajwa sana katika mitandao kuhusu tukio la mmoja wa wanachuo, walau kiseme kaneno kamoja kuhusu jamii inayoishi hapo na maadili.
Labda pengine kitendo kilichofanywa ni cha kawaida kwa wanafunzi wao. Wazazi wenye watoto hapo SAUT roho ziko juu juu.
N.B: hicho ni chuo cha Mtakatifu Augustine, mali ya Kanisa Katoliki,hii ni kwa ambao hawajaelewa
Michezo ya namna hii ndiyo imejaa ndani ya chama siku hizi; kwa hiyo inaeleweka unayo yazungumzia hapa.Kesi ya jinai ni mali ya Jamhuri, kwa maana ya DPP, labda wacheze na ushahidi waweke DNA za mtu mwingine. Halafu akatakatishwe Mahakamani ndani ya siku chache kabla ya Disemba. Inapigwa no case to answer.
Ila ajiandae kupigwa majini na uchawi ambao hajawahi kuuona, na inawezekana akaanza kuoza mwili mzima akiwa hai