Chuo Kikuu cha SAUT kwanini hatujasikia tamko lenu kulaani kitendo cha ukatili wa kingono kwa mwanafunzi wenu?

Chuo Kikuu cha SAUT kwanini hatujasikia tamko lenu kulaani kitendo cha ukatili wa kingono kwa mwanafunzi wenu?

Nilitarajia Chuo Kikuu cha SAUT ambacho kimetajwa sana katika mitandao kuhusu tukio la mmoja wa wanachuo, walau kiseme kaneno kamoja kuhusu jamii inayoishi hapo na maadili.

Labda pengine kitendo kilichofanywa ni cha kawaida kwa wanafunzi wao. Wazazi wenye watoto hapo SAUT roho ziko juu juu.

N.B: hicho ni chuo cha Mtakatifu Augustine, mali ya Kanisa Katoliki,hii ni kwa ambao hawajaelewa
Washenzi tu, hata idara ya students well being, kimya,mapadre na wao, wanasubili uteuzi,
 
Kesi ya jinai ni mali ya Jamhuri, kwa maana ya DPP, labda wacheze na ushahidi waweke DNA za mtu mwingine. Halafu akatakatishwe Mahakamani ndani ya siku chache kabla ya Disemba. Inapigwa no case to answer.

Ila ajiandae kupigwa majini na uchawi ambao hajawahi kuuona, na inawezekana akaanza kuoza mwili mzima akiwa hai
labda naye awe ni mchawi konk, ni kulogwa tu huyo binti. Itabdi ndugu zake wamuwahishe kupata kinga za kichawi ili asilipiziwe kisasi. Ujasiri alioufanya si wa kawaida. Ubunyuliwe nyuma halafu usanue hiyo si akili ya kawaida
 
Sasa kama katoa mzigo mwenyewe iweje mkuu wa mkoa wamwondoe kwenye Nafasi yake....Huyu Binti atakuwa ni muhuni sana na wa kufukuzwa shule anatuchafulia chuo chetu.
Wew una chuo? Una hisa na SAUT?
Mbona husemi RC afungwe?
Na kama unahisi binti kutoa nyash ni kosa, kwanini hujaona rc kula nyash km n kosa pia?
 
Character na reputation za huyu msichana leaves much to be desired. The girl has to be expelled for the sake of reputation of the college. Her past history has to be looked at. Unatakiwa uwe na tabia nzuri ukiwa ndani na nje ya chuo.
 
Sasa kama katoa mzigo mwenyewe iweje mkuu wa mkoa wamwondoe kwenye Nafasi yake....Huyu Binti atakuwa ni muhuni sana na wa kufukuzwa shule anatuchafulia chuo chetu.
Tanzania watu wanatafutiana skendo ili ufukuzwe kazi kila unapofanya kitu ni kuwa makini sana mtu Malaya anapatikana Club saa sita usiku anatengeneza dili na wahuni wenzie ili apate hela tu..
 
Nilitarajia Chuo Kikuu cha SAUT ambacho kimetajwa sana katika mitandao kuhusu tukio la mmoja wa wanachuo, walau kiseme kaneno kamoja kuhusu jamii inayoishi hapo na maadili.

Labda pengine kitendo kilichofanywa ni cha kawaida kwa wanafunzi wao. Wazazi wenye watoto hapo SAUT roho ziko juu juu.

N.B: hicho ni chuo cha Mtakatifu Augustine, mali ya Kanisa Katoliki,hii ni kwa ambao hawajaelewa
Chuo kilimtuma kwenda kufanya ukahaba?
 
Mmeanza Nongwa waja, kwan tukio kafanyia mazingira ya chuo? Au mda wa vipindi? Maadili gani mnayozungumzia hapa?

Huko vyuoni kuna maadili gani sasa? Hebu acheni mtoto aendelee na masomo ya chuo, huko kusagia kunguni afukuzwe ni roho mbayaa.
Kwani huyo mtoto anassoma chuo cha SAUT sasa?
 
Nilitarajia Chuo Kikuu cha SAUT ambacho kimetajwa sana katika mitandao kuhusu tukio la mmoja wa wanachuo, walau kiseme kaneno kamoja kuhusu jamii inayoishi hapo na maadili.

Labda pengine kitendo kilichofanywa ni cha kawaida kwa wanafunzi wao. Wazazi wenye watoto hapo SAUT roho ziko juu juu.

N.B: hicho ni chuo cha Mtakatifu Augustine, mali ya Kanisa Katoliki,hii ni kwa ambao hawajaelewa
AIIseee, wewe kweli sasa unajipambanua kwelikweli na ajenda unayoipigania kila siku!

Mwishowe utaeleza hicho chuo kilishiriki katika kumnasa RC ndani ya mtego, au siyo?
 
Kesi ya jinai ni mali ya Jamhuri, kwa maana ya DPP, labda wacheze na ushahidi waweke DNA za mtu mwingine. Halafu akatakatishwe Mahakamani ndani ya siku chache kabla ya Disemba. Inapigwa no case to answer.

Ila ajiandae kupigwa majini na uchawi ambao hajawahi kuuona, na inawezekana akaanza kuoza mwili mzima akiwa hai
Michezo ya namna hii ndiyo imejaa ndani ya chama siku hizi; kwa hiyo inaeleweka unayo yazungumzia hapa.
Mwanzo ikawa "michezo ya kisiasa"...;but it was too late!

Sasa ngoja tusubiri kuona itakuwa kitu gani. Uozo wa CCM umeanzia huku, na sidhani kuwa kuna dawa ya kuuponyesha ubovu huu.
 
Back
Top Bottom