lynxeffect22
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 626
- 250
.........................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni siasa tu za kujifanyia marketing tu.Mbona wapo wengi wamepitia hapo na ni vilaza tu huku makazini?Hata huo mfumo wenu wa kutambua ufaulu wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga hapo naona kama haufanyi kazi vizuri kwani kuna watu walighushi vyeti na wakasoma hapo wakamaliza vizuri tu.Halafu hao wanaoshindwa kufikia vigezo mnawashauri wakasome fani gani zinazopokea vilaza?Badala ya kumchuja mtu kabla hajaanza kusoma,wapeni nafasi na wachujwe na CA iwapo hawana uwezo.Mimi ninamfahamu mtoto mmoja amesoma st Kayumba,walimu wanne tu shule nzima lakini akafaulu div III licha ya changamoto nyingi za ufukara wa kwao. Anauwezo mkubwa sana akipata nafasi hata hapo kwenu mtamshangaa.Semeni mnavyotenda na tendeni mnavyosema.Acheni siasa.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Halafu hii fani ya udaktari msitake kuwatisha sana watu kana kwamba ni kitu cha pekee sana kwa wateule wachache mno wenye akili zisizo za kawaida(nyingi?!)HAPANA!Ni fani ya kawaida na mtu yeyote mwenye wito(huhitaji AA tu)anaweza akasoma vizuri na akawa daktari mzuri sana.Mifano iko mingi mno.Wako baadhi ya watu wengi darasa la saba tu wamekuwa wakiwasaidia specialists wazungu wanaokuja kufanya kazi hospitali za mission(bahati nzuri wazungu hufundisha maarifa si wachoyo)wamefanikiwa kufanya surgical operation ngumu ingawa madaktari hili hawawezi kukiri.Sisemi kila mtu anaweza kuwa daktari,La!bali ni kama ambavyo si kila mtu anaweza kuwa mwanamuziki,ndivyo na udaktari pia.Maarifa yanapokeleka vizuri tu.Si vema kuwatisha watu eti fani ya udaktari ni tofauti kwa upekee mkuubwa kiasi cha kwamba bila A mtu hawezi kusoma.Acheni usomi wa kizamani kwani kila binadamu ana uwezo mkubwa sana ambao hajautumia aidha kutokana na mazingira,makuzi na mambo aliyoaminishwa.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hii ni siasa tu za kujifanyia marketing tu.Mbona wapo wengi wamepitia hapo na ni vilaza tu huku makazini?Hata huo mfumo wenu wa kutambua ufaulu wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga hapo naona kama haufanyi kazi vizuri kwani kuna watu walighushi vyeti na wakasoma hapo wakamaliza vizuri tu.Halafu hao wanaoshindwa kufikia vigezo mnawashauri wakasome fani gani zinazopokea vilaza?Badala ya kumchuja mtu kabla hajaanza kusoma,wapeni nafasi na wachujwe na CA iwapo hawana uwezo.Mimi ninamfahamu mtoto mmoja amesoma st Kayumba,walimu wanne tu shule nzima lakini akafaulu div III licha ya changamoto nyingi za ufukara wa kwao. Anauwezo mkubwa sana akipata nafasi hata hapo kwenu mtamshangaa.Semeni mnavyotenda na tendeni mnavyosema.Acheni siasa.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Halafu hii fani ya udaktari msitake kuwatisha sana watu kana kwamba ni kitu cha pekee sana kwa wateule wachache mno wenye akili zisizo za kawaida(nyingi?!)HAPANA!Ni fani ya kawaida na mtu yeyote mwenye wito(huhitaji AA tu)anaweza akasoma vizuri na akawa daktari mzuri sana.Mifano iko mingi mno.Wako baadhi ya watu wengi darasa la saba tu wamekuwa wakiwasaidia specialists wazungu wanaokuja kufanya kazi hospitali za mission(bahati nzuri wazungu hufundisha maarifa si wachoyo)wamefanikiwa kufanya surgical operation ngumu ingawa madaktari hili hawawezi kukiri.Sisemi kila mtu anaweza kuwa daktari,La!bali ni kama ambavyo si kila mtu anaweza kuwa mwanamuziki,ndivyo na udaktari pia.Maarifa yanapokeleka vizuri tu.Si vema kuwatisha watu eti fani ya udaktari ni tofauti kwa upekee mkuubwa kiasi cha kwamba bila A mtu hawezi kusoma.Acheni usomi wa kizamani kwani kila binadamu ana uwezo mkubwa sana ambao hajautumia aidha kutokana na mazingira,makuzi na mambo aliyoaminishwa.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Halafu hii fani ya udaktari msitake kuwatisha sana watu kana kwamba ni kitu cha pekee sana kwa wateule wachache mno wenye akili zisizo za kawaida(nyingi?!)HAPANA!Ni fani ya kawaida na mtu yeyote mwenye wito(huhitaji AA tu)anaweza akasoma vizuri na akawa daktari mzuri sana.Mifano iko mingi mno.Wako baadhi ya watu wengi darasa la saba tu wamekuwa wakiwasaidia specialists wazungu wanaokuja kufanya kazi hospitali za mission(bahati nzuri wazungu hufundisha maarifa si wachoyo)wamefanikiwa kufanya surgical operation ngumu ingawa madaktari hili hawawezi kukiri.Sisemi kila mtu anaweza kuwa daktari,La!bali ni kama ambavyo si kila mtu anaweza kuwa mwanamuziki,ndivyo na udaktari pia.Maarifa yanapokeleka vizuri tu.Si vema kuwatisha watu eti fani ya udaktari ni tofauti kwa upekee mkuubwa kiasi cha kwamba bila A mtu hawezi kusoma.Acheni usomi wa kizamani kwani kila binadamu ana uwezo mkubwa sana ambao hajautumia aidha kutokana na mazingira,makuzi na mambo aliyoaminishwa.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hii ni siasa tu za kujifanyia marketing tu.Mbona wapo wengi wamepitia hapo na ni vilaza tu huku makazini?Hata huo mfumo wenu wa kutambua ufaulu wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga hapo naona kama haufanyi kazi vizuri kwani kuna watu walighushi vyeti na wakasoma hapo wakamaliza vizuri tu.Halafu hao wanaoshindwa kufikia vigezo mnawashauri wakasome fani gani zinazopokea vilaza?Badala ya kumchuja mtu kabla hajaanza kusoma,wapeni nafasi na wachujwe na CA iwapo hawana uwezo.Mimi ninamfahamu mtoto mmoja amesoma st Kayumba,walimu wanne tu shule nzima lakini akafaulu div III licha ya changamoto nyingi za ufukara wa kwao. Anauwezo mkubwa sana akipata nafasi hata hapo kwenu mtamshangaa.Semeni mnavyotenda na tendeni mnavyosema.Acheni siasa.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums