DOKEZO Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) Kuna Nini? Wanafunzi zaidi ya 400 wame disqualify

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Uko sahihi ila niamin mm wanafunzi wa UDOM wenye uwezo wa kuingilia SR2 ya UDOM katika 100 ni mmoja au hakuna kabisa....

Binafsi ikitokea mwanafunzi kafanikiwa kweli kuingilia mfumo basi huyo inabid aendelezwe na nchi ingawaje ni kosa ila hiyo ni potential lazima itunzwe kama wanavyofanya wenzetu.
 
Hii michezo inafanyika vyuo vikuu vingi hapa Tz, na wahusika wakuu ni ma IT wa vyuo husika. Sasa madogo wameliwa pesa na ITs alafu kimewalamba
 
Mbona hiyo rahisi tu
Kwani kila department si ina matokeo halisi ambayo wakufunzi wamepost kwenye mfumo; walinganishe tu kama kweli ni tofauti......Naamini wameshafanya hilo....
Tatizo naloweza kuliona ni kama waliobadili wamebadilisha na matokeo ya wengine ili kupoteza ushahidi...
Naamini Chuo pia kimejua kuwa ulinzi katika mifumo yake ya kimtandao inatakiwa kuimarishwa zaidi...
 
Yah hapo sikupingi katika kaka ila swala la kufanya modification ni kosa kubwa sana kisheria sijui kama hakufikilia ilo ila akiingia tu kutokufanya chochote huwaga hawana shida kabisa umeiva lakin imagine anapokea pesa za vijana alafu anabadili matokeo ni mambo ya kishenzi kabisa
 
Wanafunzi wengi ni makada wa vyama vya siasa! Hawasimi ,wanawaza siasa!


2. Walikotokea wamezoea mitihaninya multiple choice,wakifika huko wanakutana na nondo
 
Na kule social madukani bei wanabadili kila leo, sijui waliacha siku hizi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…