KERO Chuo Kikuu Huria - Singida kiboreshe mazingira yake, ni kama vile kimetelekezwa

KERO Chuo Kikuu Huria - Singida kiboreshe mazingira yake, ni kama vile kimetelekezwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

try me

Member
Joined
Nov 8, 2024
Posts
16
Reaction score
11
Mazingira ya Chuo Kikuu Huria, Kampasi ya Singida yanasikitisha sana kutokana na kuonekana kuwa duni.

Majani yameota hovyo hovyo.... mazingira mabovu hayavutii wala hamna hadhi ya 'Chuo Kikuu'.

Wakati wa mvua ndio huwa pabovu zaidi kwasababu eneo lenyewe lipo ziwani.

Pia sehem za kusomea /kufanyia discussion hamna. Ifike mahali waweke vimbweta hata vitatu tu.

Wahusika jitahidini kuweka mazingira ya chuo yawe na hadhi ya chuo na mandhari ya kuvutia.

20241118_093740.jpg

20241118_093806.jpg

20241118_093758.jpg

20241030_121957.jpg

20241030_122001.jpg

20241030_122020.jpg

Pia soma
~
Uongozi wa Chuo Kikuu Huria wasema utaboresha mazingira ya Kampasi ya Singida
~ Chuo Kikuu Huria Tanzania lipeni Waajiriwa wenu pesa zao za kujikimu, mtawaua njaa na kuwafedhehesha mtaani
 

Attachments

  • 20241118_093806.jpg
    20241118_093806.jpg
    969.4 KB · Views: 9
Back
Top Bottom