Your browser is not able to display this video.
Majani yameota hovyo hovyo.... mazingira mabovu hayavutii wala hamna hadhi ya 'Chuo Kikuu'.
Wakati wa mvua ndio huwa pabovu zaidi kwasababu eneo lenyewe lipo ziwani.
Pia sehem za kusomea /kufanyia discussion hamna. Ifike mahali waweke vimbweta hata vitatu tu.
Wahusika jitahidini kuweka mazingira ya chuo yawe na hadhi ya chuo na mandhari ya kuvutia.
Pia soma
~ Uongozi wa Chuo Kikuu Huria wasema utaboresha mazingira ya Kampasi ya Singida
~ Chuo Kikuu Huria Tanzania lipeni Waajiriwa wenu pesa zao za kujikimu, mtawaua njaa na kuwafedhehesha mtaani