KERO Chuo Kikuu Huria - Singida kiboreshe mazingira yake, ni kama vile kimetelekezwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

try me

Member
Joined
Nov 8, 2024
Posts
16
Reaction score
11
Your browser is not able to display this video.
Mazingira ya Chuo Kikuu Huria, Kampasi ya Singida yanasikitisha sana kutokana na kuonekana kuwa duni.

Majani yameota hovyo hovyo.... mazingira mabovu hayavutii wala hamna hadhi ya 'Chuo Kikuu'.

Wakati wa mvua ndio huwa pabovu zaidi kwasababu eneo lenyewe lipo ziwani.

Pia sehem za kusomea /kufanyia discussion hamna. Ifike mahali waweke vimbweta hata vitatu tu.

Wahusika jitahidini kuweka mazingira ya chuo yawe na hadhi ya chuo na mandhari ya kuvutia.







Pia soma
~
Uongozi wa Chuo Kikuu Huria wasema utaboresha mazingira ya Kampasi ya Singida
~ Chuo Kikuu Huria Tanzania lipeni Waajiriwa wenu pesa zao za kujikimu, mtawaua njaa na kuwafedhehesha mtaani
 

Attachments

  • 20241118_093806.jpg
    969.4 KB · Views: 9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…