NI chuo kikuu ambacho kipo bukoba tawi la makumira (TUMA) ni chuo kinachoogozwa kibabe,kikabila,pesa ya wanafunzi toka bodi kufanyiwa miradi na wakubwa(utawala) na hali ikiwa ni mbaya kwa wanachuo kwa kweli yapo mengi ambayo yanaskitisha tunaomba TCU kuja kujionea hali halisi ya maisha tunayoishi watanzania kwani mpaka sasa tunahisi tupo uganda na sio tanzania nawasilisha.