Chuo Kikuu kipya cha Afya kujengwa Dar

Chuo Kikuu kipya cha Afya kujengwa Dar

Jamani hivi Mwalimu alipopokea nchi mwaka ule wa uhuru alikuwa na walimu (Profs and Drs) wangapi?? wahandisi?? madaktari?? na kadhalika!! sasa sisi badala ya kujipanga na kutafta namna ya kujiendeleza na kupata a "breakthrough" tunabaki kusema walimu wa vyuo vya dar wawe wanafundisha kwenye vyuo vipya..... ile kitu inaitwa uwiano wa mwalimu kwa wanafunzi nayo tunaiangalia au??

jamani, inabidi tuache kufikiria kutokana na vile tulivyovikuta na kuviona, inabidi tuanze kutumia vipaji vyetu kutafta "any other means necessary" kujiletea maendeleo....

Nchi hii huwa hawafikirii suala la walimu kila wanapoanzisha taasisi. Just imagine shule za sekondary. Anyway unaweza kusema inachukua miaka miwili kumpata mwalimu wa shule za secondary toka alipojiunga chuo cha ualim.
Lakini hii ya kuanzisha vyuo bila ya kuwa na walimu ndo utakuta TAs wanafundisha which to me ni kama kudhalilisha. Tabia hii ipo hata pale Udsma na sijui vyuo vingine ila ukweli ni kuwa ni vyema waalimu wakaandaliwa kuliko kukurupuka kuanzisha vyuo.

Otherwise ndo tunapata product ambazo zimecremishwa na hawajui hata la kufanya. Kumtrain mwalimu wa chuo ni very demanding na kama watu hawatakuwa making hii itatufanya tuwe na vyuo visivyo na walimu ambayo ni mbaya zaidi
 
Nchi hii huwa hawafikirii suala la walimu kila wanapoanzisha taasisi. Just imagine shule za sekondary. Anyway unaweza kusema inachukua miaka miwili kumpata mwalimu wa shule za secondary toka alipojiunga chuo cha ualim.
Lakini hii ya kuanzisha vyuo bila ya kuwa na walimu ndo utakuta TAs wanafundisha which to me ni kama kudhalilisha. Tabia hii ipo hata pale Udsma na sijui vyuo vingine ila ukweli ni kuwa ni vyema waalimu wakaandaliwa kuliko kukurupuka kuanzisha vyuo.

Otherwise ndo tunapata product ambazo zimecremishwa na hawajui hata la kufanya. Kumtrain mwalimu wa chuo ni very demanding na kama watu hawatakuwa making hii itatufanya tuwe na vyuo visivyo na walimu ambayo ni mbaya zaidi

Ndiyo mkuu
Kwahiyo wewe unafikiri tutumie mda gani kuwaandaa walimu wa vyuo, na tutumie chuo gani kuwaandaa hao walimu?
 
Kwanza tuanze kwa kuanzisha Mifuko ya serikali kwa ajili Scholarship kwa wale walimu bila ya kujali wanakwenda kufundisha wapi, kama ni vyuo ya umma na binafsi maana wote wapo kwa ajili ya Tanzania
 
Kwanza tuanze kwa kuanzisha Mifuko ya serikali kwa ajili Scholarship kwa wale walimu bila ya kujali wanakwenda kufundisha wapi, kama ni vyuo ya umma na binafsi maana wote wapo kwa ajili ya Tanzania

hizo scholarship waende wakasome wapi??
 
mloganzila ni kijiji kilichopo maeneo ya kibamba ccm, wilaya ya kisarawe. Ukifika kibamba ccm ukitokea mjini unaingia kushoto, kama km3-4 hivi kama sikosei.



ok.nimepata jibu,nina kajishamba eneo la king'azi sijakapima.nadhani sio mbali na hilo eneo.ila sio lilelililopigwa x wazee.kesho huyooooo kwenda kukapima
 
ok.nimepata jibu,nina kajishamba eneo la king'azi sijakapima.nadhani sio mbali na hilo eneo.ila sio lilelililopigwa x wazee.kesho huyooooo kwenda kukapima

LOL umeshapiga mahesabu ya mbali eeh?
 
Inawezekana ikiwa ni Tanzania na hata Mataifa ya nje ya iwe mashariki ya mbali, kati Ulaya, Israel, Marekani na sehemu nyingine Duniani

Ni kipi bora kujenga chuo harafu ulete wataalamu kutoka huko waje kufundisha ama uwape watanzania 500 scholarship wajiripue huko warudi 30.?
 
Kwanza tuanze kwa kuanzisha Mifuko ya serikali kwa ajili Scholarship kwa wale walimu bila ya kujali wanakwenda kufundisha wapi, kama ni vyuo ya umma na binafsi maana wote wapo kwa ajili ya Tanzania

Maskini wewe watajilipua kama MkamaP😀 Naona serikali inaona ni bora wajenge alafu watasomesha walimu wa madaktari kwa miezi mitatu kuliko kuwapeleka nje wakajilipua.🙂
 
Maskini wewe watajilipua kama MkamaP😀 Naona serikali inaona ni bora wajenge alafu watasomesha walimu wa madaktari kwa miezi mitatu kuliko kuwapeleka nje wakajilipua.🙂

Teh teh teh teh teh
kujilipua kweli watajilipua wengine watarudi, lakini inakuwa haimake sense kabisa eti kutojenga vyuo eti tuandae wataalamu mpaka lini ? mkuu wangu nipo hilo bomu nijilipue.
 
Nchi hii huwa hawafikirii suala la walimu kila wanapoanzisha taasisi. Just imagine shule za sekondary. Anyway unaweza kusema inachukua miaka miwili kumpata mwalimu wa shule za secondary toka alipojiunga chuo cha ualim.
Lakini hii ya kuanzisha vyuo bila ya kuwa na walimu ndo utakuta TAs wanafundisha which to me ni kama kudhalilisha. Tabia hii ipo hata pale Udsma na sijui vyuo vingine ila ukweli ni kuwa ni vyema waalimu wakaandaliwa kuliko kukurupuka kuanzisha vyuo.

Otherwise ndo tunapata product ambazo zimecremishwa na hawajui hata la kufanya. Kumtrain mwalimu wa chuo ni very demanding na kama watu hawatakuwa making hii itatufanya tuwe na vyuo visivyo na walimu ambayo ni mbaya zaidi


Mkuu Myi...., hivi unakumbuka walimu wa UPE?? naelewa kuwa unafahamu kuwa ilifanikiwa sana ile kitu, why not now..... nini kimebadilika zaidi ya fikra na sisi kujifanya tumefika kwenye upeo wa kusadikika??
 
Ni kitu kizuri kuanzisha Vyuo lakini kusiwe kwa kisiasa kama hivi, isiwe ni political agenda kama hivi
 
Back
Top Bottom