Duuh mpaka "Mzee wa kulia/machozi" amalize madaraka atakuwa kafungua SUPERMARKET Katavi maana alianza na Mkoa Mpya wa Katavi, sasa Chuo Kikuu Katavi, uwanja wa Ndege, Lami mpaka Sumbawanga bado SUPERMARKET sasa. Hivi ananikumbusha Mzee Msuya enzi zake akiwa Kiranja Mkuu hakupasahau home. Hongera Baba