Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zenu,.naomba mnisaidie kuhusu hichi chuo cha mzumbe... kwa anaetaka kuanza certificate na katokea form four wanachukua vipi?!,mfano TIA wenyewe ukiwa na D 4 unasoma. hapo vipi,?msaada tafadhali
Na hii pia ilihitaji Thread... kwani hauna marafiki au majirani jamani..!
mpaka uwe umemaliza form6 ukapata div 4 au. Uwe na div 3 form 4Habari zenu,.naomba mnisaidie kuhusu hichi chuo cha mzumbe... kwa anaetaka kuanza certificate na katokea form four wanachukua vipi?!,mfano TIA wenyewe ukiwa na D 4 unasoma. hapo vipi,?msaada tafadhali
D. ADMISSION REQUIREMENTS FOR CERTIFICATE PROGRAMMESHabari zenu,.naomba mnisaidie kuhusu hichi chuo cha mzumbe... kwa anaetaka kuanza certificate na katokea form four wanachukua vipi?!,mfano TIA wenyewe ukiwa na D 4 unasoma. hapo vipi,?msaada tafadhali
sikuhizi wamelegeza wanachukua hadi wa kidato cha nne.ila kuna wale waliotoka form 6 na kupata point 3.5 kushuka chini ndio wanasoma certfict mwaka mmoja alafu wakipata second upper class wanasoma bachelor moja kwa moja.pia nasikia mda mwingine wanachukua hadi second class waliotoka 6 na kusoma certfct ya pale .mpaka uwe umemaliza form6 ukapata div 4 au. Uwe na div 3 form 4