chuo kinachotoa master's degree mkoani Mtwara

chuo kinachotoa master's degree mkoani Mtwara

jino kwa jino

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
794
Reaction score
191
wanafj naomba kufahamishwa kama kuna chuo chochote kinachotoa MBA mkani Mtwara kwa sasa.

shukrani
 
Yaani wewe huna tofauti na yule anayesema jamani nahitaji usafiri wowote ilimradi nifike niendako sababu sina jinsi. Embu jipambanue na uongeze basi chenye sifa, maana mkiambiwa tunahitaji wenye MBA na wewe uwepo, hivi vyeti vyenu hivi kama vya kuna Le Mutuz hapa jamani tutaonana wabaya.
 
Master ya uvunaji wa korosho na umachinga inatolewa Mtwara mjini!
 
Back
Top Bottom