jino kwa jino
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 794
- 191
wanafj naomba kufahamishwa kama kuna chuo chochote kinachotoa MBA mkani Mtwara kwa sasa.
shukrani
shukrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huko viliko vyuo vinavyotoa Masters vimetoka wapi ? Wewe mbona kama hamnazo !kitokee wap?
Kwa sasa hamna chuo kinachotoa Masters zaidi ya Open University of Tanzania yenye tawi lake Mtwara,na hiyo MBA wanayo.wanafj naomba kufahamishwa kama kuna chuo chochote kinachotoa MBA mkani Mtwara kwa sasa.
shukrani
Senetor wewe una virus wa fikra. Katika kila mjadala unaohusu elimu hasa ya juu, unamitazamo negative. Unasafari ndefu sana, badilika.kitokee wap?
wanafj naomba kufahamishwa kama kuna chuo chochote kinachotoa MBA mkani Mtwara kwa sasa.
shukrani
Kwani bado hujavuna korosho zako?
Haaaa Mtwara NextDream City..... Korosho, mafuta, gesi, bandari!!!!!
The most expensive city in Tanzania!!!!!!
Hizo mali za "Wazungu"Mwafrika hana chake,acha kujifariji!