jino kwa jino
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 794
- 191
wanafj naomba kufahamishwa kama kuna chuo chochote kinachotoa MBA mkani Mtwara kwa sasa.
shukrani
shukrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule kuna Vyuo vya SAUT, TIA, UTUMISHI n.k. Ukiangalia kwa haraka labda hao SAUT. Hapo SAUT nilisikia mwaka huu watachukua watu kwa ajili ya masters. Sina hakika kama MBA ni mojawapo, waone hao kwa taarifa zaidi!
thanks mfipa!
nimechek knye web ya SAUT mtwara hawana program ya mastaz
Kule kuna Vyuo vya SAUT, TIA, UTUMISHI n.k. Ukiangalia kwa haraka labda hao SAUT. Hapo SAUT nilisikia mwaka huu watachukua watu kwa ajili ya masters. Sina hakika kama MBA ni mojawapo, waone hao kwa taarifa zaidi!
SAUT mtwara kuna undergraduate tu, masterz bado sana. Na kwa kifupi hakuna chuo kinachotoa MASTERS kabsa, fuata hii web ya SAUT mtwara.
www.stemmuco.co.tz