king Chuga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 510
- 52
Kupanga udom na kiu unakosea,kiu ni kama vile zoom tanzania,eaglewing,ama cbm pale sinza madukani ama datastar
Mbona nimeona matangazo yao ni kuzuri sana kuliko ivoo unavotaja ??
nampango wa kuanza chuo mwakani ningependa kujua Chuo kipi bora kati ya KIU na UDOM.
Mbona nimeona matangazo yao ni kuzuri sana kuliko ivoo unavotaja ??
Kiu Vs Udom
1. Udom ni cha serikali wakati Kiu ni cha "private".
2. Udom kipo Dodoma wakati Kiu kipo Dsm.
3.
Kuhusu Elimi vimefanana. Ni blah blah tupu.
Kiu Vs Udom
1. Udom ni cha serikali wakati Kiu ni cha "private".
2. Udom kipo Dodoma wakati Kiu kipo Dsm.
3.
Kuhusu Elimi vimefanana. Ni blah blah tupu.