mathcom JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 1,396 Reaction score 518 Jul 1, 2013 #41 king Chuga said: nampango wa kuanza chuo mwakani ningependa kujua Chuo kipi bora kati ya KIU na UDOM. Click to expand... Yaani wewe hujakitendea haki kabisa UDOM.. unaifafanisha na kindergaten au muhalitani primary school!!! KIU..what is this..???
king Chuga said: nampango wa kuanza chuo mwakani ningependa kujua Chuo kipi bora kati ya KIU na UDOM. Click to expand... Yaani wewe hujakitendea haki kabisa UDOM.. unaifafanisha na kindergaten au muhalitani primary school!!! KIU..what is this..???
Chemiker JF-Expert Member Joined Jun 19, 2013 Posts 506 Reaction score 108 Jul 2, 2013 #42 REYRO said: namzumbe pia[/QUOTE OK. Na MZUMBE pia, naamini utakuwa umefurahi. Saikolojia yangu inanituma niamini kuwa Umesoma mzumbe au sio? Click to expand...
REYRO said: namzumbe pia[/QUOTE OK. Na MZUMBE pia, naamini utakuwa umefurahi. Saikolojia yangu inanituma niamini kuwa Umesoma mzumbe au sio? Click to expand...
waBasila Senior Member Joined Jun 27, 2013 Posts 168 Reaction score 37 Jul 2, 2013 #43 All l knw is MZUMBE...KIU NAJUA NI GAZETI FLAN HIVI la udaku,UDOM Uchanga na utawala dhaifu unakitesa but atleast hicho.
All l knw is MZUMBE...KIU NAJUA NI GAZETI FLAN HIVI la udaku,UDOM Uchanga na utawala dhaifu unakitesa but atleast hicho.
S spleen JF-Expert Member Joined Apr 24, 2013 Posts 4,079 Reaction score 6,788 Jul 3, 2013 #44 Sawa sawa na kuuliza hivi kati ya maiti na aliyekufa yupi ana uhai,anyway nenda UDOM ada ndogo na si kwa hao matapeli wa Uganda
Sawa sawa na kuuliza hivi kati ya maiti na aliyekufa yupi ana uhai,anyway nenda UDOM ada ndogo na si kwa hao matapeli wa Uganda