Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kairuki na KIU wapo vizuri zaidi, nadhani wana Lectures wengi hasa maprofesa.
Siifahamu sana St. Joseph ila KIU kwa sasa naona ina Maprofesa wengi.Kati ya st Joseph na kiu bora kipi?
Na kwenye ada?Siifahamu sana St. Joseph ila KIU kwa sasa naona ina Maprofesa wengi.
KIU 7.7 M hao wengine nadhani ni 6.7 M St. Francis ni around 5 MNa kwenye ada?
Daa embu sasa nitafte namna yakuingia st FrancisKIU 7.7 M hao wengine nadhani ni 6.7 M St. Francis ni around 5 M
St. Francis ina gharama nafua kwa sababu pia ni ya Mission.Daa embu sasa nitafte namna yakuingia st Francis
Umechaguliwa chuo gani wewe?Daa embu sasa nitafte namna yakuingia st Francis
Atakuja kujibu ila MUHAS, UDSM, UDOM, CUHAS na KCMC vina ushindani sanaIMTU vipi? Hapakufai? KCMC na Bugando? Au MUHAS? Ata Udom?
Vyuo hivi hauna sifa au shida ni ada? Au ushindani mkubwa?
IMTU vipi? Hapakufai? KCMC na Bugando? Au MUHAS? Ata Udom?
Vyuo hivi hauna sifa au shida ni ada? Au ushindani mkubwa?
Kila siku unaweka mada alaaa1. HUBERT KAIRUKI - DAR.
2. KAMPALA INTERNATIONAL-DAR.
3. ST. FRANCIS - MOROGORO
4. ST. JOSEPH -DAR
Medicine doesn't matter umesoma wapi .. Practice make it perfect... Usidanganywe na jina la chuo1. HUBERT KAIRUKI - DAR.
2. KAMPALA INTERNATIONAL-DAR.
3. ST. FRANCIS - MOROGORO
4. ST. JOSEPH -DAR
1.St fransic hakina u tofaut sana na top 3 medical school (Muhas, Kilimanjaro, &Cuhas) shule ya kuunga unga hapa kisanga pesa uwe nayo ilibumalize shule bila shule .....research zinafanyika san research ndizo zinazoongeza ubora wa institution wanaushirikiano mzuri na baadh ya malecturee kutoka muhas & NIMR katika research1. HUBERT KAIRUKI - DAR.
2. KAMPALA INTERNATIONAL-DAR.
3. ST. FRANCIS - MOROGORO
4. ST. JOSEPH -DAR