Kwa orodha yako ya vyuo, inaonesha una matokeo ya kuunga unga na umepigwa chini MUHIMBILI NA UDSM. sasa unakimbizana na chaguo la tatu.
Nakushauri uanze na Diploma Clinical Medicine. Au kubadili mtazamo ukasome SUA kozi za kilimo.
sio kila mtu amezaliwa awe daktari