Chuo kipi kinatoa shahada bora ya udaktari (MD) kati ya hivi?

Sawa ila huwezi jua kupitia maisha gani? Huwezi kulinganisha mtu

aliyesoma Special School au Private kama Feza, Marian n.k na shule
za kawaida. Japo akili huyu wa shule za kawaida anaweza kuwazidi ila

mazingira na umaskini ukawa ndio kikwazo kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…