Chuo kipi kinawanawake wazuri na warembo

wazuri wengi vilaza hawaenda ila uwezo mdogo kutwa kujiremba wauze sura.

Ni kweli wauza sura mademu hata uclas,muhimbili,udsm kibwena tu passmarks za ukweli achana na vishtobe vya zero brain vyuo!
 
kweli ww ni tabu tupu kama lilivo jina lako. Haya tuambie iyo research yako uliifanya lini na ulitumia method gani
 
VETA wapo wa kumimina,ukifikiria na Jezi zao kama za kampuni za walinzi ni hatari wote ma handsome gal.
 
1. Ifm
2. Udom
3. Dit
4. Mzumbe
5.sua


vingine mtaniwia radhi, subirini 2015.

DiT umechemsha pale jinsi shule ilivyo ngumu mademu wanashea mabafu na wanaume na hakuna hata hisia za mikasi urembo ni udsm law!!
 
Huwezi kuta demu bomba sua au muhimbili,pale mademu walopo ni majike-dume,wako kishule zaidi,hawana muda wa kukaa kwenye vioo kujiremba kama hao wenzao wa tumain,mzumbe,ifm,udom,iaa na saut.
 
Niliwahi kutembelea chuo flani kinaitwa muccobs kule moshi,mademu wote wamekomaa sura ka njemba zinazochimba mitaro..
 
1. Ifm
2. Udom
3. Dit
4. Mzumbe
5.sua


vingine mtaniwia radhi, subirini 2015.

Boom limetoka nini, mnaanza kuwaza wasichana warembo badala ya kusoma.
Na mwisho wa Mwaka ubandike Post nyingine kati ya hivyo Vyuo hapo juu kipi kimetoa Disco nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…