We jamaa ni boya Umekazania Vyuo vya Serikali wakati umefeli mi nakushauri Nenda KCMC Ni karibu na Tanga lakini kina mixed ownership siyo cha serikali moja kwa moja kwa matokeo hayo utasoma MD bila ushindani MUHAS na DCB???? Hutaweza mziki wake nenda nenda nenda nenda nenda nenda KCMC.